BONJU

BONJU •ACTOR
•CONTENT CREATOR

15/07/2025

Afya

💞 Mahusiano mazuri hayajengwi kwa maneno matupu bali kwa juhudi za vitendo.🧏🏽‍♂️📌 Sio tu Kwa maneno mazuri k**a “Nakupen...
13/07/2025

💞 Mahusiano mazuri hayajengwi kwa maneno matupu bali kwa juhudi za vitendo.🧏🏽‍♂️
📌 Sio tu Kwa maneno mazuri k**a “Nakupenda” pekee bali “Niko hapa, nitapambana na wewe Katika Kila Hali🥹.”
True love survives the seasons — good and bad.

🔖 Upendo wa kweli unaishi kwenye maelewano, si ushindani.
Hamko pamoja kushindana nani bora, nani ana makosa zaidi, Mko pamoja kujenga mnara mmoja wa upendo na ndoto zenu.
In love, it’s us vs the problem, not me vs you.

👏🏼 Mahusiano bora yanahitaji ujasiri wa kusema ukweli kwa upendo ili kujenga Amani , Sio kumuumiza mwenzako kwa maneno makali hasa anapo enda tofauti au kukosea, bali kumwambia kitu kwa njia atakayoelewa ili ajirekebishe na Tena Sio kuwa mtu wa kumnyamazia jambo la muhimu alilo kosea na kulipua baadaye au kulifanya kosa lake la Jana k**a fimbo ya kumchapia Leo UTAKUWA UMEKOSEA SANA.
Speak the truth but season it with grace.

🧏🏻‍♂️ Kumbuka, uaminifu ni nguzo.
Ukimvunjia mtu uaminifu, umempa kidonda kitakacho chukua muda kupona.

💡 Uaminifu ni k**a kioo ukikipasua, unaweza kujaribu kukibandika au kukiunganisha, lakini alama za mipasuko zitaendea kuonekana. So
Protect trust like you protect your own heart.

🔖 Mahusiano yanahitaji muda.
Mnapaswa 👇🏼
👩🏽‍❤️‍👨🏾 kuzungumza pamoja,
😂 kucheka,
🗣️ kubishana kwa kistaarabu,
🤲🏼 kusamehe bila kuhifadhi maumivu,
Kila mmja anapaswa kujifunza mazoea na Tabia kuu za mwenzie na kukubali mapungufu yake hasa usiyo weza kuyabadilisha.
Time is love’s fertilizer starve it, and it dies out it on your mind.

👏🏼 Usijenge mahusiano kwa hisia za leo pekee Bali Kwa manufaa ya kesho .
Leo unaweza katika nyakati za Raha ila kesho inaweza kuwa na siku mbaya kwenu,

Kuna wakati
🥹 utachoka,
🗣️ utakasirika,
🥱 utakata tamaa.
Hapo ndipo unapaswa kuikumbuka sababu kwanini ulianza ili ikupe nguvu ya kuendelea kusonga mbele bila kujali nyakati Ngumu pengine ulizomo Sasa.
Love is a decision, not just a feeling.

🧏🏻‍♂️ Epuka watu wanaovuruga akili yako Kwa kukushauri kuhusu mahusiano yako.

FAHAMU KUWA 👇
🧏🏿‍♂️ Sio kila mtu ni rafiki wa penzi lenu, Kuna watu wanajifanya washauri ila ni wachochezi wa nyakati Ngumu unazo pitia wewe na mwenza wako, hii inamaana kuwa si Kila ushauri unapaswa kuufanyia kazi maana Kuna maneno hata mazuri yana sumu ndani yake🧏🏿‍♂️ so
Protect your love from idle opinions.

🔖 Siri mojawapo ya mahusiano bora kwamba:
💓 “Kila mtu ana mapungufu, Ukikubali mapungufu yake, hutayaona k**a kikwazo ila, Ukilazimisha awe vile unavyotaka, utaishi na presha isiyoisha.”
🙏🏼Jambo la msingi
👩🏽‍❤️‍👨🏾 Mheshim,
💞 Mfanye kuwa bora kwako,
♥️Mrebishe akikosea, lakini usilazimishe ukamilifu Kwa Kila kitu.

👏🏼 Penda kwa mpende na kumheshimu na Kamwe🙏🏼👇🏼
🗣️ Usitukane ukiwa na hasira,
🏃‍♀️ Usitishie kuondoka au kuachana naye kila mnapogombana,
🥹 Usifichue siri zake mnapopishana.
🧏🏽‍♂️ Usikumbushie makosa yake yaliyo Kila mara hii haita saidia, fahamu kuwa
Heshima ni kinga ya penzi.
Lose respect, lose everything.

🧏🏻‍♂️ K**a unataka mfike mbali, Kumbuka maombi Siku zote
🤲🏼Hakuna mahusiano imara bila Mungu.
Mkiwa na Mungu, mtajua kuvumilia, kusamehe, na kuona mbali zaidi ya hisia za leo.
A couple that prays together, stays together.

🚀🔥 Na usisahau:
Mahusiano hayahitaji watu wakamilifu — yanahitaji watu wawili wanaokubali kujifunza, kubadilika na kushik**ana bila kuruhusu ulimwengu kuwa farakanisha.

🌟 Linde upendo wenu k**a unavyo linda pumzi. Mlikutana kwa sababu ya sababu maalumu hivyo
Usiruhusu sababu ndogo iue ndoto na umoja wenu.
💕Mpendane,
🙏Msaamehe,
💪🏼Jenga Nguzo imara.
🤝🏽 Shika mkono wake na Mkumbushe kuwa unampenda na simama naye imara hadi mwisho.
NAJUA UMELIPENDA SOMO HILI FUPI TAFADHALI NAOMBA UNIFOLLOW Bonju Boy KUJIFUNZA ZAIDI 🙏🏼 MUNGU AKUBARIKI SANA 🙏♥️ pia Naomba comments

Oya, unawezaje kumshawishi msichana akubali kukupa namba yake ya simu au mawasiliano bila kujisikia aibu au kukatataliwa...
11/07/2025

Oya, unawezaje kumshawishi msichana akubali kukupa namba yake ya simu au mawasiliano bila kujisikia aibu au kukatataliwa ? Mimi naweza sana.
So hapa nmeona nikutoe gundu, nikupe mbinu chache zitakazokusaidia wewe jamaa kufanikiwa kwa urahisi.

1. Anza kwa Sifa na Maneno Matamu 😋

Anza kwa kumtazama kwa fahari 🤔 na umwambie kitu kizuri kuhusu sura yake, mavazi yake, au tabia zake. Kwa mfano:

"Umependeza sana leo sisteri ! Ni nadra sana kukuona mara nyingi ukiwa hivi, naomba namba yako ili tuweze kuwasiliana zaidi km hutojali."

2. Tumia Swali la Kishkaji

Badala ya kumwuliza moja kwa moja kuhusu namba yake, anza kwa swali la kishkaji ambalo linaweza kufungua milango. Kwa mfano:

Code zako ni nzuri sana! Naweza kuuliza, duka gani ulipata hii nguo? Nataka kumnunulia sista angu."

Akujibu, ongeza: "Asante kwa kunisaidia, naomba namba yako nikipata muda nikuulize zaidi kuhusu mitindo, maana so poa umewaka kweli 😂."

3. Mwingize Kwenye story za Kumvutia

Ukiona pisi haina hamu ya kutoa namba yake, jaribu kumwingiza kwenye story ya kumfurahisha. Mfano:

"Unaonekana k**a mtu mwenye maoni mazuri sana, ningependa kukuuliza kuhusu… (swali lolote linalomgusa)."

Baada ya kujibu, unaweza kuongeza: "Nimefurahi tulivyoongea, naomba namba yako Kuna ishu km unaweza tujadili zaidi."

4. Tumia Ucheshi na Mbinu za Ujanja Ujanja Kumfurahisha

Ucheshi unaweza kuvunja mipaka na kumfanya msichana ajisikie huru. Jaribu kumwambia:

"Nimekosea namba yangu ya nida, je, unaweza kunipa yako?" "Namaanisha ya simu 😀"

Au kwa mbinu ya kuchekesha:

"Nataka kukupa namba yangu, lakini naona ni bora unipe yako kwanza eti!"😂

5. Mwambie Lengo Lako Moja Kwa Moja (Kwa Heshima sana)

Wakati mwingine ujasiri wa moja kwa moja unaweza kufanya kazi. Sema kwa hivi we jamaa :

*"Nimekupenda sana, na ningependa kukuona tena. Je, naweza kupata namba yako?"*

Ikiwa ana hamu, atakubali, na k**a hana, utajua mapema bila kupoteza muda.

Facebook monetization
10/07/2025

Facebook monetization

10/07/2025

Namshukuru mungu mpaka sasa sina ex na nina miaka 34 🙏😂

10/07/2025

Nasikia wanaume wa dar es salaam wanamenyewa hadi machungwa 😂😂

Mliopo dar ni kweli? 😂

🚨MWANAUME👂1- Usilale na Mke wa mtu Hili ni deni litakaloitesa damu yako milele2 - Usiwe na mahusiano na Boss wakoMkigomb...
10/07/2025

🚨MWANAUME👂

1- Usilale na Mke wa mtu
Hili ni deni litakaloitesa damu yako milele

2 - Usiwe na mahusiano na Boss wako
Mkigombana utapoteza mapenzi & maisha

3 - Usije kupendana na EX wa mshikaji wako
Akiachwa na msela, ameachwa na Familia🙌

4 - Ndugu yako akikufundisha Kuvua KAMWE usirushe nyavu mtoni kwake

5 - Ukitambulishwa shemeji acha kutaka kuonekana wewe bora kuliko mwana

6 - K**a wewe sio mjomba basi achana na Mashangazi yaliyokuzidi umri👀

7 - Siku zote heshimu hisia zako, Usilale na mwanamke usiemuamini, Kuna makosa ya gharama kubwa kuliko starehe za siku moja

8 - Usitumie hisia sehemu inapohitajika Akili🧠

9 - Tunapambana kila siku lakini mtoaji ni Mungu, Mshirikishe Mungu kwa kila jambo sababu wakati mwingine anasubiri uombe ili upewe👍

Ivi ni kweli 😂😂😂
10/07/2025

Ivi ni kweli 😂😂😂

Shetaa boy
06/07/2025

Shetaa boy

Wanawake je utatoa au utaiacha? Na wanaume je ungekuwa wewe ungeweza? 😂
05/07/2025

Wanawake je utatoa au utaiacha? Na wanaume je ungekuwa wewe ungeweza? 😂

22/06/2025

Address


Telephone

+255742186774

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when BONJU posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to BONJU:

Shortcuts

  • Address
  • Telephone
  • Alerts
  • Contact The Business
  • Claim ownership or report listing
  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share