Casa

Casa MEDIA

Staa wa mu*iki Tanzania na Afrika  ametangaza kumtambulisha msanii mpya kwenye Label yake ya WCB WASAFI.Kupitia   yake D...
18/03/2025

Staa wa mu*iki Tanzania na Afrika ametangaza kumtambulisha msanii mpya kwenye Label yake ya WCB WASAFI.

Kupitia yake Diamond amechapisha post ya mkataba mpya unaotarajiwa kusainiwa na msanii huyo na kuandika ujumbe unaosomeka hivi 👇

"A NEW ICON IS COMUNG 👑"

Sp

Klabu ya Singida Black Stars imetangaza rasmi u*indu*i wa uwanja wao mpya wa kisasa unaoitwa Airtel Stadium, uliopo kati...
16/03/2025

Klabu ya Singida Black Stars imetangaza rasmi u*indu*i wa uwanja wao mpya wa kisasa unaoitwa Airtel Stadium, uliopo katika eneo la Mtipa, mkoani Singida.

Uzindu*i wa uwanja huo mpya wa klabu hiyo utafanyika Machi 24, 2025, mkoani Singida, ambapo watacheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Wananchi, Yanga SC.

"Airtel Stadium ni sehemu ya dhamira ya Singida Black Stars ya kuwekeza katika maendeleo ya michezo kwa kutoa mazingira bora kwa wachezaji, mashabiki, na jamii kwa ujumla. Uwanja huu umejengwa kwa viwango vya kimataifa na unatarajiwa kuwa kitovu cha mashindano makubwa ya kitaifa na kimataifa," imeeleza taarifa ya klabu hiyo.

  Taarifa Kutoka bodi ya Ligi inaeleza kuwa mchezo kati ya Yanga Vs Simba umeahirisha mpaka pale itakapotangazwa tarehe ...
08/03/2025

Taarifa Kutoka bodi ya Ligi inaeleza kuwa mchezo kati ya Yanga Vs Simba umeahirisha mpaka pale itakapotangazwa tarehe nyingine ya mchezo huo kufanyika.

Baadhi ya matukio ya picha ya mchezaji Aziz Ki akiwa Msikitini kwa ajili ya kukamilisha zoezi la ndoa yake na mwanamitin...
16/02/2025

Baadhi ya matukio ya picha ya mchezaji Aziz Ki akiwa Msikitini kwa ajili ya kukamilisha zoezi la ndoa yake na mwanamitindo

✍️

Sponsored by@mcs electrical

BREAKING NEWSTUNDU LISSU NI MWENYEKITI MPYA WA CHADEMA TAIFA...HONGERA SANA SIMBA
22/01/2025

BREAKING NEWS

TUNDU LISSU NI MWENYEKITI MPYA WA CHADEMA TAIFA...

HONGERA SANA SIMBA

Wananchi, Yanga wamezindua jezi mpya zitakazotumika katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika. Unaupa asilimia n...
20/11/2024

Wananchi, Yanga wamezindua jezi mpya zitakazotumika katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika.

Unaupa asilimia ngapi huu u*i mpya wa yanga Kimataifa?.

 : klabu ya Yanga imemtangaza Kocha raia wa Ujerumani Sead Ramović kuwa Kocha mkuu wa kikosi hiko amesaini mkataba wa mi...
15/11/2024

: klabu ya Yanga imemtangaza Kocha raia wa Ujerumani Sead Ramović kuwa Kocha mkuu wa kikosi hiko amesaini mkataba wa miaka miwili na miamba hao ambao niyo mabingwa watetezi wa ligi kuu Tanzania bara.

Ramovic alikuwa anakinoa kikosi cha TS Galaxy cha Afrika ya kusini anatarajiwa kukiongoza kikosi cha Wananchi Novemba 26, Katika mchezo wa Kwanza wa Kiamtaifa dhidi ya Al -Hilal Omdurman

Kwa kocha huyu Yanga watatoboa?

 : Mwanamu*iki mkongwe wa mu*iki wa dansi  nchini Boniface Kikumbi Mwanza Mpango maarufu King Kikii amefariki dunia. Mwa...
15/11/2024

: Mwanamu*iki mkongwe wa mu*iki wa dansi nchini Boniface Kikumbi Mwanza Mpango maarufu King Kikii amefariki dunia.

Mwanamu*iki huyo ambaye ameugua kwa muda mrefu, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Novemba 15, 2024 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar es Salaam alikokuwa akipatiwa matibabu.

Miongoni mwa nyimbo za King Kikii zilizotamba sana ni Kitambaa Cheupe.

MAHOJIANO YA HAJI MANARA NA CLOUDS MEDIA ."Unajua nilifungiwa na nilichokitegemea baada ya kufunguliwa sicho nilichokiku...
09/11/2024

MAHOJIANO YA HAJI MANARA NA CLOUDS MEDIA .

"Unajua nilifungiwa na nilichokitegemea baada ya kufunguliwa sicho nilichokikuta"

kumbuka nilifungiwa kwasababu ya Yanga na nilitegemea support kutoka kwa Yanga ila ilikuwa tofauti lakini wakati mwingine ndio Binadamu"

" Ila ipo siku nitasema maana nilikuwa nalazimishwa kuomba msamaha na ilikuwa inatumiwa k**a fimbo yake kunichapia”

"Kwasasa sina mahusiano yoyote na Engineer Hersi, tuna miezi mitatu nadhani hatujaongea, ni tofauti na hapo zamani nami sijamtafuta kuongea nae kwakuwa yeye si alisema Mimi ni Mwanachama tu sasa Mimi nimwambie nini yeye kila Mtu ana thamani yake ambayo anapaswa kuijua hatuna mahusiano mabaya ila hatuna ule urafiki k**a zamani”

"Kocha Gamondi hakuwa na furaha kuniona, tena alishindwa hata kujikaza akasema wazi kuwa Mimi nilipost Instagram kuwa yeye afukuzwe yani Mimi simtaki yeye”

“Simba SC imefika hadi nusu fainali 1974 kwa hiyo hakuna kipya ambacho tunakifanya (Yanga) hivi sasa ambacho huko nyuma hakikufanyika hakipo”

-Haji Manara

Msanii  ameamua rasmi kuweka wazi kuwa ni kweli hayuko sawa na msanii mwenzie  ambaye amewahi kuwa chini yake k**a dance...
21/10/2024

Msanii ameamua rasmi kuweka wazi kuwa ni kweli hayuko sawa na msanii mwenzie ambaye amewahi kuwa chini yake k**a dancer wake hapo nyuma,kwenye insta story yake ameenda mbali na kusema kuwa kuna uwezekano kuwa alimuwekea sumu siku za hivi karibuni jambo ambalo lilipelekea kutaka kutoa uhai wake.

  Mchekeshaji mkongwe Tanzania Mzee Yusuph Kaimu maarufu kwa jina la Pembe amefariki dunia muda wa alasiri ya leo Oktoba...
20/10/2024

Mchekeshaji mkongwe Tanzania Mzee Yusuph Kaimu maarufu kwa jina la Pembe amefariki dunia muda wa alasiri ya leo Oktoba 20, 2024.

Taarifa ya kifo chake imethibitishwa na baadhi ya wachekeshaji wenzie na wasanii wa filamu aliowahi kufanya nao kazi enzi za uhai wake na taratibu za mazishi zinafuata.

K**a mlijua ni hasira za Jana basi mmejidanganya, malizeni kunywa SUPU mkutane na Magori ana jambo la kuongea
20/10/2024

K**a mlijua ni hasira za Jana basi mmejidanganya, malizeni kunywa SUPU mkutane na Magori ana jambo la kuongea

Address


Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Casa posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

  • Address
  • Alerts
  • Claim ownership or report listing
  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share