Da'wah Salafiyya Newala.

  • Home
  • Da'wah Salafiyya Newala.

Da'wah Salafiyya Newala. "KILE AMBACHO HAKIKUWA DINI WAKATI WA MTUME (SWALLA ALLAHU'ALAYHI WA SALLAM) HAKIWEZI KUWA DINI LEO"

Tanzania, Tanga, Makorora
30/03/2025

Tanzania, Tanga, Makorora

01/03/2025

SAUTI YA SALAF

KADHI AKITANGAZA NDIO SAWA

🔰NINI HUKMU YA YULE ALIE TAMBUA RAMADHANI MCHANA WA RAMADHANI *❪📜❫ السُّــــ☟ـــؤَال : ﻓﻲ اﻟﻴﻮﻡ اﻷﻭﻝ ﻣﻦ ﺷﻬﺮ ﺭﻣﻀﺎﻥ، ﻟﻢ ﻧﻌ...
28/02/2025

🔰NINI HUKMU YA YULE ALIE TAMBUA RAMADHANI MCHANA WA RAMADHANI

*❪📜❫ السُّــــ☟ـــؤَال : ﻓﻲ اﻟﻴﻮﻡ اﻷﻭﻝ ﻣﻦ ﺷﻬﺮ ﺭﻣﻀﺎﻥ، ﻟﻢ ﻧﻌﻘﺪ اﻟﻨﻴﺔ ﻟﻠﺼﻴﺎﻡ ﺇﻻ اﻟﺴﺎﻋﺔ اﻟﺴﺎﺑﻌﺔ ﺻﺒﺎﺣﺎ؛ ﻟﻌﺪﻡ اﻟﻤﻌﺮﻓﺔ ﺑﺄﻥ ﻳﻮﻡ اﻷﺭﺑﻌﺎء ﻣﻦ ﺭﻣﻀﺎﻥ ﺇﻻ ﻓﻲ اﻟﺼﺒﺎﺡ*

*📝Swali: siku ya kwanza katika mwezi wa ramadhani, hatukulala na nia ya kufunga ispokuwa saa moja asubuhi; kwa kuto kujua ya kwamba hakika ya siku ya juma tano ni ramadhani ispokuwa (tukatambua) asubuhi*

*ﻓﻬﻞ ﻫﺬا اﻟﻴﻮﻡ ﻣﻌﺘﺒﺮ ﺻﻴﺎﻡ ﺻﺤﻴﺢ، ﻭﻫﻞ ﻳﺠﺐ ﻋﻠﻲ اﻟﻘﻀﺎء؛ ﻟﻌﺪﻡ ﻭﺟﻮﺩ اﻟﻨﻴﺔ ﺇﻻ ﻣﺘﺄﺧﺮﺓ؟*

*Je siku hii inazingatiwa funga yake ni sahihi? Na je ni wajibu kuilipa (siku hiyo) kwa kukosekana nia ispokuwa baada ya mda kupita?*

*❪📜❫ الجَـــ☟ـــوَاب : ﻳﺠﺐ ﻋﻠﻴﻜﻢ ﻗﻀﺎء اﻟﻴﻮﻡ اﻟﺬﻱ ﻟﻢ ﺗﻨﻮﻭا ﺻﻴﺎﻣﻪ ﻣﻦ اﻟﻠﻴﻞ ﻣﻦ ﺭﻣﻀﺎﻥ؛*

*☑️Jawabu: ni wajibu juu yenu kulipa siku ambayo hamja nuwia kuifunga kutoka usiku wa ramadhani*

*ﻷﻥ اﻟﻨﻴﺔ ﻣﻦ اﻟﻠﻴﻞ ﺷﺮﻁ ﻟﺼﺤﺔ ﻛﻞ ﺻﻮﻡ ﻭاﺟﺐ؛*

*Kwani hakika ya nia kutoka usiku wa ramadhani ni sharti la kusihi kwa kila funga ya wajibu*

*ﻟﻘﻮﻟﻪ ﺻﻠﻰ اﻟﻠﻪ ﻋﻠﻴﻪ ﻭﺳﻠﻢ: «ﻣﻦ ﻟﻢ ﻳﺒﻴﺖ اﻟﺼﻴﺎﻡ ﻗﺒﻞ اﻟﻔﺠﺮ ﻓﻼ ﺻﻴﺎﻡ ﻟﻪ » ﺭﻭاﻩ اﻟﺨﻤﺴﺔ.*

*Kwa kauli yake mtume (swallah llahu alayhi wasallam) yule ambae hakulala na nia ya funga kabla ya Al-fajiri basi hana funga [Kaipokea muslim)."*

Fatwa ya lajnah ya kudumu

*❪📚❫ المصْــــدَرُ: ❪فَتــَاوى اللجنَةِ الدَّائمَة,اﻟﺴﺆاﻝ اﻷﻭﻝ ﻣﻦ اﻟﻔﺘﻮﻯ ﺭﻗﻢ (1609❫.*

══════ ❁✿❁ ══════

*📓 ✍️ Abou hudaa Al-jaziiriyyi حفظــــــــــه اللــــــــــه تعالــــــــــى ورعــــــــــاه📖*

*🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹*

*📡Subscribe my channel YouTube*
*https://youtu.be/GKrYlDY0NRs?si=GeB2RGc9uFu2QRjV*

*🔽Jiunge na group la mafunzo sahihi ya ndoa*
*https://chat.whatsapp.com/EwUMLuTfQfsBdzBn8ZxGJm*

*🔽Hii ni channel maalum ya telegram kwajili ya mafunzo sahihi ya ndoa tu gusa link hii hapa chini ili kujiunga*
*https://t.me/Mafunzo_sahihi_ya_ndoa*

*VUNA THAWABU KWA KUSAMBAZA KWA WENGINE👌*

*💉Kuwa muadilifu usibadili chochote*

*🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹*

USINGIZI ULIMZIDIA KATIKA MWEZI WA RAMADHANI  NA AKANYWA MAJI BAADA YA KUCHOMOZA KWA AL-JIRI NINI HUKMU❓*❪📜❫ السُّــــ☟ـ...
28/02/2025

USINGIZI ULIMZIDIA KATIKA MWEZI WA RAMADHANI NA AKANYWA MAJI BAADA YA KUCHOMOZA KWA AL-JIRI NINI HUKMU❓

*❪📜❫ السُّــــ☟ـــؤَال : ﺳﺎﺋﻞ ﻳﺴﺄﻝ ﻭﻳﻘﻮﻝ: ﻏﻠﺒﻪ اﻟﻨﻮﻡ ﻓﻲ ﺭﻣﻀﺎﻥ ﺃﺛﻨﺎء اﻟﻠﻴﻞ، ﻓﺼﺤﺎ ﻭﻗﺪ ﻃﻠﻊ اﻟﻔﺠﺮ ﻭﻛﺎﻥ ﻋﻄﺸﺎﻧﺎ ﻓﺸﺮﺏ اﻟﻤﺎء، ﻓﻤﺎ اﻟﺤﻜﻢ؟*

*📝Swali: muulizaji anauliza: ulimzidia usingizi katika mwezi wa ramadhani katikati ya usiku, na akazinduka wakati Al-fajiri imesha chomoza na alikuwa ana kiu basi akanywa maji nini hukmu?*

*❪📜❫ الجَـــ☟ـــوَاب: ﺇﺫا ﻛﻨﺖ ﻣﺘﻴﻘﻨﺎ ﻃﻠﻮﻉ اﻟﻔﺠﺮ، ﺛﻢ ﺷﺮﺑﺖ ﻣﺘﻌﻤﺪا ﻓﻴﺠﺐ ﻋﻠﻴﻚ ﻗﻀﺎء ﻳﻮﻡ ﺑﺪﻝ ﺫﻟﻚ اﻟﻴﻮﻡ ﻣﻊ اﻟﺘﻮﺑﺔ ﺇﻟﻰ اﻟﻠﻪ ﺗﻌﺎﻟﻰ.*

*☑️Jawabu: pindi ukiwa na yakini juu ya kuchomoza kwa Al-fajiri, kisha ukanywa maji kwa makusudi basi ni wajibu juu yako kuilipa siku badala ya siku hiyo (baada ya ramadhan) pamoja na kuomba toba kwa Allah."*

Fatwa ya lajnah ya kudumu

*❪📚❫ المصْــــدَرُ: ❪فَتــَاوى اللجنَةِ الدَّائمَة,اﻟﻔﺘﻮﻯ ﺭﻗﻢ (14328❫.*

══════ ❁✿❁ ══════

*📓 ✍️ Abou hudaa Al-jaziiriyyi حفظــــــــــه اللــــــــــه تعالــــــــــى ورعــــــــــاه📖*

*📚═══ AL-HUDAA DURUUSU ONLINE ═══📚*

*📡Subscribe my channel YouTube*
*https://youtu.be/twjo5-o5FMs*

*🔽Ili kupata faida zaidi ungana nasi katika channel yetu ya telegram*
https://t.me/AlHudaa_duruusu_online

*🔽Link maalum ya group letu Facebook*
https://www.facebook.com/groups/3868433196527618/?ref=share

(1) *https://chat.whatsapp.com/EW8SzTMoByJBePg7ZbiSmN*

*VUNA THAWABU KWA KUSAMBAZA KWA WENGINE👌*

*🎤Kua muadilifu us'badili chochote💥*

*📚═══ AL-HUDAA DURUUSU ONLINE ═══📚*

*📚 DURUUS IL-MIYYAT ONLINE 🇹🇿📚*

https://chat.whatsapp.com/FW4aG9M68ruLjzC53NoNab*🌹🌹MKE NI KITULIZO CHA MUME**قال ابن القيم: "وقد امتن الله سبحانه بها عل...
17/10/2024

https://chat.whatsapp.com/FW4aG9M68ruLjzC53NoNab

*🌹🌹MKE NI KITULIZO CHA MUME*

*قال ابن القيم: "وقد امتن الله سبحانه بها على عباده فقال:*

*📝Amesema imam In Qayyim (rahimahullah): na kwa hakika Allah amemneemesha mume kwa kumuumbia mke, na Akasema:*

*وَمِنْ آيَاتِهِ أَنْ خَلَقَ لَكُمْ مِنْ أَنْفُسِكُمْ أَزْوَاجًا لِتَسْكُنُوا إِلَيْهَا وَجَعَلَ بَيْنَكُمْ مَوَدَّةً وَرَحْمَةً إِنَّ فِي ذَلِكَ لَآيَاتٍ لِقَوْمٍ يَتَفَكَّرُونَ* [الروم: 21]؛

*Na katika dalili zake ni kuwaumbia nyinyi wake ili mupate utulivu kwao, na akajaalia baina yenu mapenzi na huruma, kwani hakika ya hilo ni dalili kwa wenye akili ya ya mazingatio.* (Arruum 21)

*فجعل المرأة سكنًا للرجل يسكن قلبه إليها،*

*Allah akamfanya mke kuwa ni kitulizo kwa mumewe, mume anautuliza moyo wake kwa mkewe*

*وجعل بينهما خالص الحبّ، وهو المودة المقترنة بالرحمة.*

*Na akajaalia baina yao mapenzi mazuri, nayo ni mapenzi yalofungamana na huruma."*

══════ ❁✿❁ ══════

*📓 ✍️ Abou hudaa Al-jaziiriyyi حفظــــــــــه اللــــــــــه تعالــــــــــى ورعــــــــــاه📖*

*🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹*

*📡Subscribe my WhatsApp channel*
https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R

*🔽Jiunge na group la mafunzo sahihi ya ndoa*
https://chat.whatsapp.com/FW4aG9M68ruLjzC53NoNab

*🔽Hii ni channel maalum ya telegram kwajili ya mafunzo sahihi ya ndoa tu gusa link hii hapa chini ili kujiunga*
*https://t.me/Mafunzo_sahihi_ya_ndoa*

*VUNA THAWABU KWA KUSAMBAZA KWA WENGINE👌*

*💉Kuwa muadilifu us'badili chochote*

*🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹*."*

06/07/2024

🚫MAMBO YA HARAMU🚫

🎙️ Sheikh Hamza Mkoloweko (Allah amuhifadhi).

Da'wah salafiyya Newala.🇹🇿

🕌 Masjid MADINA NEWALA.

🎥Abuu Haarith/Khawlah Assalafy.

25/06/2024

CHALLENGE KWA MASHEIKH WA KISUFI WENYE KUHALALISHA NYIMBO (MZIKI)

25/06/2024

TAHADHARI KWA WATU WENYE KUPENDA KUJIPOST MITANDAONI.

25/06/2024

WATU HAWA ALLAH HUWAEGEMEZA KWA WANAVYO VITEGEMEA.

25/06/2024

TANZANIA MAZERUZERU WALIKUWA WAKIULIWA KWA SABABU YA SIHRI.

22/06/2024

HUKMU YA MWIZI.

🎙️ Sheikh Hamza Mkoloweko (Allah amuhifadhi).

Da'wah salafiyya Newala.🇹🇿

🕌 Masjid MADINA NEWALA.

🎥Abuu Haarith/Khawlah Assalafy.

22/06/2024

HUKMU YA JAMBAZI.

🎙️ Sheikh Hamza Mkoloweko (Allah amuhifadhi).

Da'wah salafiyya Newala.🇹🇿

🕌 Masjid MADINA NEWALA.

🎥Abuu Haarith/Khawlah Assalafy.

JIPATIE MCHELE MZURI KWA BEI NAFUU. Kg 1 Tsh 1600 tuh! (Elfu moja mia sita) +255711233200+255687197659
16/06/2024

JIPATIE MCHELE MZURI KWA BEI NAFUU. Kg 1 Tsh 1600 tuh! (Elfu moja mia sita)

+255711233200
+255687197659

*https://t.me/Mafunzo_sahihi_ya_ndoa**🌹🌹REJEA SIO LAZIMA MKE ARIDHIE,* Darsa namba (3)*قال ابن قدامة رحمه الله :**(📜) Am...
14/06/2024

*https://t.me/Mafunzo_sahihi_ya_ndoa*

*🌹🌹REJEA SIO LAZIMA MKE ARIDHIE,* Darsa namba (3)

*قال ابن قدامة رحمه الله :*

*(📜) Amesema imam ibnu Qudaamah (rahimahullah)*

*وجملة ذلك , أن زوج الرجعية إذا راجعها , وهي لا تعلم , صحت المراجعة ;*

*Na ujumla wa hilo, hakika ya mume mwenye kurejea, pindi akimrejea mkewe na haliyakuwa yeye hajui, basi itasihi rejea yake*

*لأنها لا تفتقر إلى رضاها , فلم تفتقر إلى علمها كطلاقها ،*

*Kwani hakika yake rejea haifungamani na kuridhia (mke), na wala haifungamani na kujuwa kwake k**a talaka*

*فإذا راجعها ولم تعلم , فانقضت عدتها , وتزوجت , ثم جاء وادعى أنه كان راجعها قبل انقضاء عدتها ,*

*Na pindi mumewe akimrejea haliyakuwa mke hajuwi, na eda yake ikaisha, na akaolewa na mume mwengine, kisha akaja mume wa kwanza na akadai ya kwamba alimrejea mkewe kabla ya kumalizika kwa eda yake*

*وأقام البينة على ذلك , ثبت أنها زوجته , وأن نكاح الثاني فاسد ; لأنه تزوج امرأة غيره ,وتُرد إلى الأول*

*Na (mume) akabainisha ushahidi katika hilo, basi itathibitishwa hakika yake ni mkewe, na hakika ya ndoa ya pili imevunjika, kwani hakika yake kaoa mke wa mtu, na (mke) atarudi kwa mume wa kwanza*

*سواء دخل بها الثاني أو لم يدخل بها ، هذا هو الصحيح , وهو مذهب أكثر الفقهاء*

*Sawa sawa mume wa pili alimuingilia au hakumuingilia, huu ndio usahihi, nayo ni madh'habu ya wengi katika wanawachuoni wa fiQhi*

*منهم الثوري , والشافعي , وأبو عبيد , وأصحاب الرأي ، وروي ذلك عن علي رضي الله عنه .*

*Miongoni mwao, imam Athaury, imam shafy, na Abu ubayd, na watu wa rai, na limepokewa hilo kwa Ally Allah amridhie."*

*❪📚❫ المصْــــدَرُ: ❪"المغني" (7/ 411).❫.*

══════ ❁✿❁ ══════

*📓 ✍️ Abou hudaa Al-jaziiriyyi حفظــــــــــه اللــــــــــه تعالــــــــــى ورعــــــــــاه📖*

*🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹*

*📡Subscribe my channel WhatsApp*
*https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R*

*🔽Jiunge na group la mafunzo sahihi ya ndoa*
*https://chat.whatsapp.com/E6Zc5ubeFUg8zisCYsvRxS*

*🔽Hii ni channel maalum ya telegram kwajili ya mafunzo sahihi ya ndoa tu gusa link hii hapa chini ili kujiunga*
*https://t.me/Mafunzo_sahihi_ya_ndoa*

*VUNA THAWABU KWA KUSAMBAZA KWA WENGINE👌*

*💉Kuwa muadilifu usibadili chochote💥*

*🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹*

10/06/2024

HII NI MUHIMU KUSIKILIZA

*https://t.me/Mafunzo_sahihi_ya_ndoa**🌹🌹KUMUINGILIA MKE KINYUME NA MAUMBILE KUNAHESABIWA KUWA NI TALAKA❓**سئل العلامة إم...
08/06/2024

*https://t.me/Mafunzo_sahihi_ya_ndoa*

*🌹🌹KUMUINGILIA MKE KINYUME NA MAUMBILE KUNAHESABIWA KUWA NI TALAKA❓*

*سئل العلامة إمام عبد العزيز بن باز رحمه الله تعالى*

*(📜) Aliulizwa Al-Allaamah imam Abdul Aziz bin baazi (Allah amrehemu)*

*السؤال: ما حكم إتيان الزوج امرأته في دبرها، وإذا حدث هذا عدة مرات، هل تطلق،*

*📝Swali: nini hukmu ya mume kumuingilia mkewe katika tupu yake ya nyuma, na pindi likitokea hili mara nyingi je mke anaachika kwa jambo hilo?*

*وإذا كان الزوجان قد تابا من هذا العمل، فما حكمهما؟ جزاكم الله خير.*

*Na pindi wakiwa wanandoa wawili wametubia katika jambo hili nini hukmu yao? Allah akulipe khari*

*فأجاب: إتيان المرأة في دبرها من كبائر الذنوب؛ لكونه مخالفا لقوله:*

*☑️ Akajibu: kumuingilia mke kinyume na maumbile ni katika madhambi makubwa; kwakuwa jambo hilo linakwenda kinyume na kauli yake Allah:*

*نِسَاؤُكُمْ حَرْثٌ لَكُمْ فَأْتُوا حَرْثَكُمْ أَنَّى شِئْتُمْ [البقرة:223]. ومحل الحرث هو القبل،*

*Wake zenu ni shamba zenu basi ziendeeni shamba zenu vile mnavyo penda. [Al-baqara 223] na sehemu ya kulima ni katika tupu ya mbele*

*ولقول النبي ﷺ: ملعون من أتى امرأته في دبرها*

*Na kwa kauli yake mtume (swallah llahu alayhi wasallam): amelaaniwa mwenye kumuingilia mkewe katika tupu yake ya nyuma*

*ومن تاب تاب الله عليه، والمرأة لا تطلق بذلك.*

*Na yeyote mwenye kutubia kwa dhambi hii basi Allah humpokelea toba yake, na mke haachiki kwa dhambi hilo (kufanya tendo la ndoa kinyume na maumbile).*

*لكن عليهما جميعًا التوبة النصوح من ذلك،*

*Lakini wajibu juu yao kuomba toba kwa Allah ya kweli kutokana na jambo hilo*

*لقول الله : وَتُوبُوا إِلَى اللَّهِ جَمِيعًا أَيُّهَا الْمُؤْمِنُونَ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ [النور:31]،*

*Kwa kauli yake Allah: tubuni kwa Allah nyote enyi waumini ili muweze kufaulu [Annuur 31]."*

*❪📚❫ المصْــــدَرُ: ❪مجموع الفتاوى إتيان المرأة في دبرها من الكبائر❫.*

══════ ❁✿❁ ══════

*📓 ✍️ Abou hudaa Al-jaziiriyyi حفظــــــــــه اللــــــــــه تعالــــــــــى ورعــــــــــاه📖*

*🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹*

*📡Subscribe my channel WhatsApp*
*https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R*

*🔽Jiunge na group la mafunzo sahihi ya ndoa*
*https://chat.whatsapp.com/E6Zc5ubeFUg8zisCYsvRxS*

*🔽Hii ni channel maalum ya telegram kwajili ya mafunzo sahihi ya ndoa tu gusa link hii hapa chini ili kujiunga*
*https://t.me/Mafunzo_sahihi_ya_ndoa*

*VUNA THAWABU KWA KUSAMBAZA KWA WENGINE👌*

*💉Kuwa muadilifu usibadili chochote💥*

*🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹*

27/05/2024

RADDY KWA DR. SULE 🗡️⚔️🗡️⚔️💣

Address


Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Da'wah Salafiyya Newala. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Da'wah Salafiyya Newala.:

Shortcuts

  • Address
  • Telephone
  • Alerts
  • Contact The Business
  • Claim ownership or report listing
  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share