Wasafi digital

  • Home
  • Wasafi digital

Wasafi digital Hapa utapata habari zote motomoto ndani na nje ya nchi

Karibuni sana wateja wells company limited tunatoa huduma. ZIFUATAZO ✅Upimaji wa maji ARDHINI kabla ya kuchimba kisima ✅...
03/12/2024

Karibuni sana wateja wells company limited tunatoa huduma. ZIFUATAZO
✅Upimaji wa maji ARDHINI kabla ya kuchimba kisima
✅ Uchimbaji kisima Cha kisasa Cha maji safi na salama kisima kinauwezo wa kulisha Kijiji Cha watu 5000 Kwa siku
✅ Tunafanya services za visima k**a flashing na pump installation

Tunapatikana dar es salaam
Mawasiliano 0769509666

TATIZO LA GESI KUJAA TUMBONI  DALILI ZAKE  Ni hali inayotokea Tumboni na kusababisha Tumbo Kujaa bila ya kula kitu choch...
29/11/2022

TATIZO LA GESI KUJAA TUMBONI DALILI ZAKE

Ni hali inayotokea Tumboni na kusababisha Tumbo Kujaa bila ya kula kitu chochote,pia huambatana na kubeua,Kuhisi kutapika au kuhisi Kiungulia.Hali hii husababisha Tumbo kujaa au kuvimbiwa na mtu hutoa gesi kwa njia ya ushuzi au kubeua

SABABU ZINAZOSABABISHA TUMBO KUJAA GESI
🌹Matumizi makubwa ya dawa zenye kemikali
🌹Mazoea ya kula kupita kiasi
🌹Kuisha kwa bacteria walinzi Tumboni

DALILI ZA GESI KUJAA TUMBONI
🌹 Kuhisi Maumivu ya Tumbo
🌹Tumbo kuunguruma Sana Mara kwa Mara
🌹 Kuhisi Kiungulia juu ya Tumbo
🌹Kukosa hamu ya kula
🌹Kula kidogo na Kuhisi kushiba
🌹Magonjwa K**a vile ya Vidonda vya Tumbo,mawe kwenye Figo , kuvimba kwa kongosho , Saratani ya utumbo, utumbo kuziba lakini pia hii Ni dalili ya mfumo wa mmeng'enyo wa chakula kuwa mbovu/kuwa na MATATIZO
🌹Kutojisikia raha na kukosa amani

Tuna Tiba ya tatizo hili dawa hii ya asili kirutubisho haina madhara na imethibitishwa ambayo Ni const relax inapatikana kwa Tsh 80000Tu call Whatapp 0657710078

*ANATIC HERBAL ESSENCE SOAP*Leo nawaletea kitu tofauti sana. Ni sabuni, wengi wetu hutumia sabuni za viwandani ambazo zi...
23/11/2022

*ANATIC HERBAL ESSENCE SOAP*
Leo nawaletea kitu tofauti sana. Ni sabuni, wengi wetu hutumia sabuni za viwandani ambazo zimewekwa magadi, sasa leo nakuletea sabuni ambayo imetengenezwa kiasili na kwa kutumia teknolojia kubwa sana, nzuri sana kwa watoto,wasichana,wavulana,wazee nk

*I: ANATIC HERBAL ESSENCE SOAP*

Hii sabuni imetengenezwa na:

1)Asali wa nyuki wa mwitu
2)Mafuta ya n**i
3)Mafuta ya mchikichi
4)Majani ya mchaichai

*FAIDA ZA ANATIC SOAP*

1;Inaondoa makovu na mabaka mwilini
2:Inaondoa miwasho,vipele
3:Ni nzuri kuitumia k**a after shave kwa wanaume
4:Huua bakteria kwenye ngozi
5:Inatibu chunusi, upele, harara
6: Nzuri kwa watu wenye mapunye,mafua
7:Inasaidia kukuza nywele na kulinda zisikatike hovyo kwa kuoshea k**a shampoo
8:Inalinda ngozi yako na mionzi ya jua. Nzuri pia hata kwa wale wanaotumia cream kali
9: Nzuri kwa watoto hata awe mchanga
10:Inazuia malengelenge unapokuwa umeungua na maji au mafuta baada ya kupaka povu lake

Wanaoitumia wanajua hii ni sabuni kwa nje lakini kwa ndani ni zaidi ya sabuni kwa kazi zake. Mnunulie mwanao au familia yako leo

Ijaribu leo hakika hutojuta na utapenda uitumie kila siku na kila mara.hii ndio mkombozi wa ngozi yako na matatizo yako.

Inunue Leo kwa ofa

Wahi mapema mzigo umebakia kidogo.

Bofya link hapo chini kwa Order yako

0745000157
https://wa.me/+255657710078

𝐌𝐚𝐮𝐦𝐢𝐯𝐮 𝐲𝐚 𝐯𝐢𝐮𝐧𝐠𝐨 𝐡𝐮𝐥𝐞𝐭𝐚 𝐦𝐚𝐝𝐡𝐚𝐫𝐚 𝐦𝐚𝐤𝐮𝐛𝐰𝐚 𝐤𝐚𝐦𝐚;MGONGO MIGUUMAGOTIMIFUPA YA NYONGA NA JOINTS Maumivu ya viungo kwa walio w...
23/11/2022

𝐌𝐚𝐮𝐦𝐢𝐯𝐮 𝐲𝐚 𝐯𝐢𝐮𝐧𝐠𝐨 𝐡𝐮𝐥𝐞𝐭𝐚 𝐦𝐚𝐝𝐡𝐚𝐫𝐚 𝐦𝐚𝐤𝐮𝐛𝐰𝐚 𝐤𝐚𝐦𝐚;

MGONGO
MIGUU
MAGOTI
MIFUPA YA NYONGA NA JOINTS

Maumivu ya viungo kwa walio wengi husababishwa na kukauka kwa uteute na kuondolewa kwa Cartilage iliyo katika viungo.
Uteute na Cartilage Kwa pamoja husaidia kuondoa msuguano kati ya mifupa miwili inayokutana. Na hivyo kufanya kusiwe na maumivu yoyote.

Pamoja na kwamba tatizo hili linawakuta watu wengi hasa wanapofikia umri wa miaka 38 na kuendelea, lakini bado matibabu yake ni gharama kubwa na huchukua muda mrefu kupona na wengine hua hawaponi kabisa.

𝗧𝗶𝗯𝗮𝗹𝗶𝘀𝗵𝗲/𝘃𝗶𝗿𝘂𝘁𝘂𝗯𝗶𝘀𝗵𝗼 𝘃𝗶𝗹𝗶𝘃𝘆𝗼𝗼𝗻𝗲𝘀𝗵𝘄𝗮 𝗵𝗮𝗽𝗼 𝗸𝘄𝗲𝗻𝘆𝗲 𝗽𝗶𝗰𝗵𝗮, 𝘃𝗶𝘁𝗮𝗸𝘂𝘀𝗮𝗶𝗱𝗶𝗮 𝗸𝘂𝗶𝗺𝗮𝗶𝗿𝗶𝘀𝗵𝗮 𝗮𝗳𝘆𝗮 𝘆𝗮 𝘃𝗶𝘂𝗻𝗴𝗼 𝗻𝗮 𝗺𝗶𝗳𝘂𝗽𝗮 𝗸𝘄𝗮 𝘂𝗷𝘂𝗺𝗹𝗮

Ukitumia kwa pamoja utapata Chondroitin na Glucosamine, ambavyo ni dutu asilia zinazo Saidia kuongeza utengenezaji wa uteute kwenye joints hvyo kuzuia msuguano wa mifupa, pia huongeza afya na uimara wa cartilage kufanya joints kuwa imara zaid,
Pia utapata Madini ya Calcium na mengine mengi ambavyo Huimarisha mifupa,hvyo KUONDOKANA na maumivu ya mifupa na kuzuia kuvunjika kwa urahisi.

Kuwa na umri mkubwa (uzee) kusikukoseshe raha, Chukua hatua jali
Afya yako tumia Tibalishe kuondokana na changamoto mbalimbali

𝗧𝘂𝗽𝗼 𝗱𝗮𝗿 𝗲𝘀 𝗦𝗮𝗹𝗮𝗺 𝗞𝗮𝗺𝗮 𝘂𝗽𝗼 𝗱𝗮𝗿 𝘂𝗻𝗮𝘄𝗲𝘇𝗮 𝗸𝘂𝗳𝗶𝗸𝗮 𝗼𝗳𝗶𝘀𝗶𝗻𝗶 𝗺𝘀𝗮𝘀𝗮𝗻𝗶 𝗮𝘂 𝘂𝗸𝗮𝗹𝗲𝘁𝗲𝘄𝗮 𝘁𝗶𝗯𝗮 𝘂𝗹𝗶𝗽𝗼 𝗻𝗷𝗲𝗲 𝘆𝗮 𝗱𝗮𝗿 𝗲𝘀 𝗦𝗮𝗹𝗮𝗺 𝘁𝘂𝗻𝗮𝘁𝘂𝗺𝗮 𝗸𝘄𝗮 𝗴𝗵𝗮𝗿𝗮𝗺𝗮 𝘇𝗮 𝗺𝘁𝗲𝗷𝗮 𝗸𝗮𝗿𝗶𝗯𝘂 𝘀𝗮𝗻𝗮.𝗸𝘄𝗮 𝗸𝘂𝗽𝗮𝘁𝗮 𝘁𝗶𝗯𝗮𝗹𝗶𝘀𝗵𝗲 𝗻𝗮 𝗺𝗮𝗲𝗹𝗲𝘇𝗼 𝘇𝗮𝗶𝗱𝗶.


𝐅𝐮𝐥𝐥 𝐃𝐨𝐳𝐢
𝐍𝐮𝐬𝐮 𝐃𝐨𝐳𝐢
𝐑𝐨𝐛𝐨 𝐃𝐨𝐳𝐢

𝐏𝐢𝐠𝐚 𝐚𝐮 𝐰𝐡𝐚𝐭𝐬𝐀𝐩𝐩
𝟎657710078

FEMICARE KIPENZI CHA WANAWAKE*Ni dawa ipo katika mfumo wa kimiminikaUnasafishia ukeni usiku mara Moja  *KAZI ZAKE*👉Hutib...
22/11/2022

FEMICARE KIPENZI CHA WANAWAKE*

Ni dawa ipo katika mfumo wa kimiminika
Unasafishia ukeni usiku mara Moja

*KAZI ZAKE*
👉Hutibu UTI sugu
👉Hutibu Fangasi sugu
👉Inaondoa Miwasho ukeni
👉Inaondoa Harufu mbaya ukeni
👉inaondoa Uchafu unatoka ukeni
👉inasafisha na kuzibua milija ya uzazi
👉inakurinda usipate UTI na Fangasi
👉inaufanya uke unakuwa msafi na kuvutia muda wote
👉inaongeza joto la uke
👉inabana Kuta za uke zilizo legea
👉inapunguza Maumivu makali wakati wa Hedhi
👉inarudisha ute ute ukeni
👉inatibu PID ikitumika na refined, Refined ni ya vidonde unameza

Bei ya offer 40,000/-

Mawasiliano
Piga 0745000157
Whatapp 0657710078
Tunapatikana dar es salaam
Mikoani tunafanya delivery

Inatibu kwa asilimia 100%

Whatapp group https://chat.whatsapp.com/HzpAhDlMx77KhZqJd3tWPE

Habari!🌱Sisi k**a afya kwanza bado tuko hapa kukupatia habari njema...🌱tunaendelea kukuletea kilicho bora kwa kutumia ti...
21/11/2022

Habari!

🌱Sisi k**a afya kwanza bado tuko hapa kukupatia habari njema...

🌱tunaendelea kukuletea kilicho bora kwa kutumia tiba lishe
Tumia tiba lishe tegemea matokeo mazuri zaidi

🌱Kwasababu hakuna chemical wala madhara ya aina yoyote

🌱Tunazo tiba za Magonjwa ya aina zote k**a vile

~KISUKARI
~PRESHA
~HARUFU MBAYA KINYWANI
~HARUFU MBAYA UKENI
~UKE MKAVU
~KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA
~HORMONE IMBALANCE
~U.T.I SUGU
~P.I.D
~UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME
~BAWASILI
~VIDONDA VYA TUMBO
~KUTOA SUMU MWILINI
~MAUMIVU MAKALI YA KICHWA

Jali Afya yako kwa kutumia virutubisho lishe

kwa mawasiliano kuhusu tiba au ushauri wowote kuhusu afya

wasiliana nasi WhatsApp/Call/Sms +255 657710078.

Jiunge Whatapp Group https://chat.whatsapp.com/HzpAhDlMx77KhZqJd3tWPE

Niko na rafiki yang lily wyne
14/10/2022

Niko na rafiki yang lily wyne

  Azam FC imekubali kipigo cha kwanza kwenye ligi msimu huu mbele ya Tanzania Prisons.Neno moja kwa Azam FC.
30/09/2022

Azam FC imekubali kipigo cha kwanza kwenye ligi msimu huu mbele ya Tanzania Prisons.

Neno moja kwa Azam FC.

BREAKING NEWS.:DEJAN aondoka SIMBAMshambuliaji wa Simba DEJAN GEORGIJOVIC amebunja mkataba na Klabu ya SIMBA kwa kile an...
28/09/2022

BREAKING NEWS.:

DEJAN aondoka SIMBA

Mshambuliaji wa Simba DEJAN GEORGIJOVIC amebunja mkataba na Klabu ya SIMBA kwa kile anachodai ni Ukwiukaji wa Mkataba uliofanywa na Klabu hiyo dhidi yake

HAJI MANARA AOA TENA-Huyu ni yule dada aliyekwenda nae bungeni na kusema ni msaidzi wake kumbe pisi yake😂Kuoa ni Sunna i...
26/09/2022

HAJI MANARA AOA TENA

-Huyu ni yule dada aliyekwenda nae bungeni na kusema ni msaidzi wake kumbe pisi yake😂

Kuoa ni Sunna ila mwenetu😁😁😁😁😁

K**a hamwagi haraka mpe hii style wazungu chap tu
22/09/2022

K**a hamwagi haraka mpe hii style wazungu chap tu

Anaitwa mr komba katimiza miaka 22 heri yakuzaliwa kwake
22/09/2022

Anaitwa mr komba katimiza miaka 22 heri yakuzaliwa kwake

Address


Telephone

+255694052222

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Wasafi digital posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Wasafi digital:

Shortcuts

  • Address
  • Telephone
  • Alerts
  • Contact The Business
  • Claim ownership or report listing
  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share