Yanga news supporters

  • Home
  • Yanga news supporters
Sina uhakika k**a watu wamejifunza, Sina uhakika k**a wadau wote wamehusishwa katika hii ratiba mpyaIla nina uhakika mku...
06/05/2025

Sina uhakika k**a watu wamejifunza, Sina uhakika k**a wadau wote wamehusishwa katika hii ratiba mpya

Ila nina uhakika mkubwa Azam Tv hayupo tayari kurudia makosa yale yale ya tarehe 8

Kingine ambacho nina uhakika nacho ni Mahak**a haiepukiki katika sakata hili

Tuupe muda nafasi Ndugu zangu kila kitu dunia itajua uonevu unaoendelea .

Nimeshindwa kujizuia. Natanguliza kukuombeni radhi kwa lolote nitakaloliandika ambalo bila ya kukusudia litakukwazeni. N...
06/05/2025

Nimeshindwa kujizuia. Natanguliza kukuombeni radhi kwa lolote nitakaloliandika ambalo bila ya kukusudia litakukwazeni. Nisameheni bure tu.
1. Simba waliiambia Bodi ya Ligi *hawachezi* na ndani ya saa 24 Bodi wakakubakiana nao.
2. Yanga wakaiambia Bodi hiyo hiyo hawachezi kwa sababu za Kanuni kukiukwa, leo ni miezi miwili Bodi haijawajibu Yanga
3. Siyo tu kwamba Bodi haijawajibu Yanga juu ya hoja yao; lakini Bodi ilisema inafanya uchunguzi ambao hadi leo haijatoa taarifa juu ya matokeo ya uchunguzi wao
4. Bodi badala ya kujibu hoja za Yanga, na badala ya kuweka hadharani taarifa ya uchunguzi wao, Bodi wamepanga tarehe ya mechi namba 184.
5. Mwenendo wa Bodi dhidi ya Yanga unaashiria chuki, dharau, kiburi na dhuluma iliyo uchi bila kuvikwa nguo.
6. Tulitaraji TFF waingie kuja kuleta suluhu lakini kumbe Bodi ni petroli na TFF ni kiberiti.
7. Katika mazingira haya ni unyonge usiyo na kifani chake kwa Yanga kukubali kuicheza mechi hii.
8. Kusikilizwa ni haki ya msingi hivyo Bodi na TFF kukataa kuisikiliza Yanga ni dharau ambayo haipendezi, haivumiliki na haikubaliki.
Naunga mkono msimamo wa HATUCHEZIhadi Kanuni zitakapozingatiwa.

Makolo wasishuke daraja busara itumike lakini point 3 tunazitaka 🤣🤣🤣
20/03/2025

Makolo wasishuke daraja busara itumike lakini point 3 tunazitaka 🤣🤣🤣

Maelekezo ya mnguto yafuatwe namna hii ili busara itumike🤣🤣🤣
19/03/2025

Maelekezo ya mnguto yafuatwe namna hii ili busara itumike🤣🤣🤣

Ndivyo sivyo kwa oruma imekaa vibaya sana🤣🤣🤣🤣🤣
24/02/2025

Ndivyo sivyo kwa oruma imekaa vibaya sana🤣🤣🤣🤣🤣

WAWEKEZAJI HII  IPO NA IPO SOKONI KWA WANUNUZI PIKIPIKI USED HII PIKIPKI INAUZWA BEI NI [ 800000/=] LAKI NANE TUWASILIAN...
15/02/2025

WAWEKEZAJI HII IPO NA IPO SOKONI KWA WANUNUZI PIKIPIKI USED HII PIKIPKI INAUZWA BEI NI
[ 800000/=]
LAKI NANE TUWASILIANE 0614838070.

Wachambuzi wa makolo wapo kazini. 👏👏👏👏👏
26/12/2024

Wachambuzi wa makolo wapo kazini.
👏👏👏👏👏

Shukrani kwa Wanachama na Mashabiki wetu waliojitokeza kwenye mchezo wetu wa jana dhidi ya Tabora United, tutarudi tukiw...
08/11/2024

Shukrani kwa Wanachama na Mashabiki wetu waliojitokeza kwenye mchezo wetu wa jana dhidi ya Tabora United, tutarudi tukiwa imara zaidi tukianza na Klabu Bingwa Barani Afrika nyumbani.🔰💪🏽


🔰𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇𝐃𝐀𝐘🔰 🏆  ⚽️ Vital’O FC🆚Young Africans SC 📆 17.08.2024🏟 Azam Complex 🕖 4:00PM
17/08/2024

🔰𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇𝐃𝐀𝐘🔰

🏆
⚽️ Vital’O FC🆚Young Africans SC
📆 17.08.2024
🏟 Azam Complex
🕖 4:00PM


16/07/2024
Wazee wetu walisema ubingwa hauna raha k**a haujamla mtani, msimu huu mtani kaliwa nje ndani yaani 5-1 & 2-1 hivo tutash...
21/04/2024

Wazee wetu walisema ubingwa hauna raha k**a haujamla mtani, msimu huu mtani kaliwa nje ndani yaani 5-1 & 2-1 hivo tutasherekea ubingwa wa 30 kwa kumla mtani goli 7 - 2.

Hongereni sana Wananchi, timu kubwa ujidhihirisha uwanjani!

Until we meet again. Asanteni sana wazee wetu wa Yanga, pia samahani sana wanachi wa DSM kwa kuwaharibia ratiba ya mvua leo, itaendelea kesho🙏🏿

NB: Baada ya kichapo tunataka kujua timu ni ya Mwenyekiti au Rais😎

Posted • .esq

Ombi la wanasimba tumelifanyia kazi 😀Kwako  Hongera kwa kutambua utu na utulivu🔰🔰..         🇹🇿                          ...
21/04/2024

Ombi la wanasimba tumelifanyia kazi 😀
Kwako Hongera kwa kutambua utu na utulivu🔰🔰..
🇹🇿

Address


Telephone

+255757504741

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Yanga news supporters posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Yanga news supporters:

Shortcuts

  • Address
  • Telephone
  • Alerts
  • Contact The Business
  • Claim ownership or report listing
  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share