RaiaPost

RaiaPost Raia wenzangu, habari ni msingi wa maendeleo na haki zetu. Tufuatilie Shughuli Zote Zenye Kuleta Maendeleo Kwa Taifa
❤️🇹🇿

Kufuatilia matukio ya nchi yetu hutuwezesha kufanya maamuzi sahihi, kushiriki kikamilifu, na kutimiza wajibu wetu wa kiraia.

Pichani ni Msichana mdogo Ambae Video zake zimesambaa sana na anajutia kweli kweli. Anasema anaona aibu kutoka nje anaon...
17/08/2025

Pichani ni Msichana mdogo Ambae Video zake zimesambaa sana na anajutia kweli kweli. Anasema anaona aibu kutoka nje anaona Aibu hata kuomba ajira sehemu kwa sababu mwili wake umeenea online kote. Vijana Tumieni mitandao vizuri lindeni taarifa zenu za Siri. Dunia imejaa ukatili.

Wewe unaesoma hii post Mwanao Utamrithisha Nini ?
17/08/2025

Wewe unaesoma hii post Mwanao Utamrithisha Nini ?

 Saa 24 🔥🔥🔥
13/08/2025


Saa 24 🔥🔥🔥

12/08/2025

I got over 500 reactions on my posts last week! Thanks everyone for your support! 🎉

😁😁😁
12/08/2025

😁😁😁

Wasikilizwe....1. Muda wa mtu kukaa shule ufupishwe, miaka 18 mtu keshapata elimu na skills za kujiendesha, sio mtu anaz...
12/08/2025

Wasikilizwe....

1. Muda wa mtu kukaa shule ufupishwe, miaka 18 mtu keshapata elimu na skills za kujiendesha, sio mtu anazeekea shule

2. Uchumi wa masaa 24 na siku 4 za kazi Jumatatu hadi Alhamisi (Ijumaa Ibada, Jumamosi Ibada Wasabato na Jumapili Ibada)

Mkiwapa kura hawa weekend itaanza Alhamisi 🔥🔥🔥

Yericko Nyerere......✍️
12/08/2025

Yericko Nyerere......✍️

Mtoto wa Freeman Mbowe, Mwenyekiti mstaafu wa CHADEMA, James Mbowe,amesema anamuuga mkono Freeman Mbowe, kwa kitendo cha...
06/08/2025

Mtoto wa Freeman Mbowe, Mwenyekiti mstaafu wa CHADEMA, James Mbowe,amesema anamuuga mkono Freeman Mbowe, kwa kitendo chake cha kutotoa maoni yake juu ya yanayoendelea ndani ya chama hicho pamoja na kesi ya Mwenyekiti wa chama hicho Tundu Lissu.

James, ameyasema hayo wakati akizungumza na wanahabari kuhusu mwenendo wa chama hicho akiwa katika ofisi za CHAUMMA.

"Taasisi inayowekeza kwenye kutukana waasisi wake, imejiua yenyewe, namuunga mkono Freeman Mbowe, kunyamaza, yeye kwenye chama alimaliza wajibu wake, sasa mnataka aseme nini wakati wajibu wake yeye alishamaliza" amesema

Imeandikwa na Elizabeth Zaya

Credit
NipasheDigital

06/08/2025
Waungwana wanazidi kukimbia Chadema !!! Kitakufa chama hiki jamani
06/08/2025

Waungwana wanazidi kukimbia Chadema !!!
Kitakufa chama hiki jamani

Vinyozi na Mafundi sofa Kuna Ujumbe Wenu hapa. ❤️🇹🇿
03/08/2025

Vinyozi na Mafundi sofa Kuna Ujumbe Wenu hapa. ❤️🇹🇿

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255658412883

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when RaiaPost posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to RaiaPost:

Share