Ulimwengu Media

  • Home
  • Ulimwengu Media

Ulimwengu Media Research | Entertainment | 📡 We connect you to the world through accurate, researched information.

12/01/2026

KWANI MWANDAMBO KALAMBA NINI?

MBONA MNAMAFUMBO HIVYO 🫵

12/01/2026

🚨🚨🚨
KAFANYAJE TENA BABAENU MWANDAMBO MBONA

MNA MTUKANA HIVYO

12/01/2026

LEO WANAHARAKATI WANATAMNI MWANDAMBO ANGEBAKI NDANI 😅😅😅

Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Bobi Wine, amesema ataitisha maandamano ya nchi nzima endapo Rais Yoweri Museveni at...
12/01/2026

Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Bobi Wine, amesema ataitisha maandamano ya nchi nzima endapo Rais Yoweri Museveni atahujumu uchaguzi unaotarajiwa kufanyika siku ya Alhamisi.

Wine amesema wananchi hawapaswi kusubiri maelekezo, akisisitiza kuwa mapambano yasiyo ya vurugu ndiyo njia ya kuiondoa serikali ya mabavu.

Kwa mara ya kwanza, Bobi Wine amesema angeliukaribisha msaada wa moja kwa moja kutoka Marekani, mradi tu usiwe wa kuchukua mamlaka ya nchi.

Zaidi ya watu milioni 20 wakijiandaa kupiga kura, Museveni mwenye umri wa miaka 81 anatazamiwa kuendeleza utawala wake wa takriban miongo minne, huku upinzani ukikabiliwa na ukandamizaji.

Chanzo:

12/01/2026

Katika moja ya video za mahojiano kati ya JAMBO TV na CLEMENCE MWANDAMBO hapa mzee wetu ameongelea swala mtambuka la kimtazamo alionao juu ya Raisi na wale wanao pinga kwa kusema Samia must go!, akauliza swali Je akiondoka utamuweka nani pale?

12/01/2026

Mzee wetu Mwandambo leo katika Interview yake na JAMBO TV Amegusia mambo mengi ila kubwa nililolipata kwa Baba yetu hapa ni UZALENDO sio wa maneno na matendo pia hakubali kunyamazishwa sababu tayari anauchungu na Nchi yake.

Wewe umapata nini na nini mtazamo wako. Usiache kutufollow kwa mengine zaidi.

12/01/2026

Hebu cheki chuma hiki, Clemence Mwandambo ameshikiliwa na Polisi wiki 3 bila kuonana na ndugu zake, ametoa anafuraha kuliko Samia, mateso yanaimarisha watu, leo saa 10 jioni atakuwa Jambo TV akiibananga na kuibagaza Serikali

Rais Donald J. Trump amesema kuwa Iran imeanza kuvuka mstari wake mwekundu kufuatia mauaji ya watu wasiopaswa kuuawa. Am...
12/01/2026

Rais Donald J. Trump amesema kuwa Iran imeanza kuvuka mstari wake mwekundu kufuatia mauaji ya watu wasiopaswa kuuawa. Amesema anapokea taarifa kila saa kuhusu hali ya Iran na kwamba Marekani inazingatia hatua kali sana.

Trump ameonya kuwa iwapo Iran itashambulia kambi za Marekani katika eneo hilo, basi Marekani itajibu kwa nguvu kubwa kuliko Iran inavyotarajia.

Chanzo:

12/01/2026

Jamani ni kweli ya Kuhusu Yanga au watani mnasemaje?

  Mahak**a ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) imeanza uchunguzi wa awali kuhusu vifo vilivyotokea wakati wa ghasia za baada y...
12/01/2026


Mahak**a ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) imeanza uchunguzi wa awali kuhusu vifo vilivyotokea wakati wa ghasia za baada ya uchaguzi nchini Tanzania. “Idi Amin Suluhu atajutia matendo yake ya kikatili,” ndivyo ujumbe mmoja uliosambaa Facebook ulivyodai.
Samia Suluhu Hassan ndiye Rais wa Tanzania.

Jina la utani “Idi Amin Mama” linatumiwa na wakosoaji wake kumlinganisha na aliyekuwa Rais wa Uganda, Idi Amin Dada, kutokana na mtazamo wao kuwa anaongoza kwa mtindo wa kiimla.
Mahak**a ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) huchunguza na, inapobidi, huwafikisha mahak**ani watu wanaotuhumiwa kutenda makosa makubwa yanayolihusu jumuiya ya kimataifa, k**a vile:
1.mauaji ya halaiki (genocide),
2.uhalifu wa kivita,
3.uhalifu dhidi ya binadamu,
4.uhalifu wa uchokozi.

Tanzania ilifanya Uchaguzi Mkuu tarehe 29 Oktoba 2025. Uchaguzi huo uliripotiwa kukumbwa na vurugu, uharibifu wa mali na vifo. Katikati ya hali hiyo ya sintofahamu, Samia Suluhu Hassan aliapishwa kuwa Rais.

Timu ya Umoja wa Afrika ya uangalizi wa uchaguzi ilifuatilia zoezi hilo na baadaye kutangaza kuwa uchaguzi haukufikia viwango vya kidemokrasia.
Dai hilo pia lilisambazwa k**a picha (grafiki) yenye picha mbili: moja ya Rais Samia na nyingine ya majaji wa ICC.

Lakini je, madai haya yana ukweli wowote? Tulifanya uchunguzi.
Hakuna rekodi ya uchunguzi wa ICC

Uchunguzi katika tovuti rasmi ya ICC, mitandao yao ya kijamii, taarifa kwa vyombo vya habari na masasisho ya kesi haukuonyesha kumbukumbu yoyote ya uchunguzi huo. Pia, hakuna chombo cha habari kinachoaminika kilichoripoti hatua hiyo kutoka ICC. K**a dai hili lingekuwa la kweli, vyombo vya habari vya ndani na vya kimataifa vingeliripoti.

Baada ya ghasia za uchaguzi, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimojawapo cha vyama vya upinzani, kiliomba Umoja wa Mataifa na ICC kuanzisha uchunguzi. CHADEMA kilidai kuwa zaidi ya watu 700 waliuawa katika maandamano hayo. Hata hivyo, hatukupata ushahidi wowote kwamba ICC ilijibu wito huo.

Hitimisho
Madai kwamba ICC imeanzisha uchunguzi kuhusu mauaji yaliyotokea wakati wa ghasia za baada ya uchaguzi Tanzania ni ya uongo na yanapaswa kupuuzwa.

Chanzo:

https://africacheck.org/fact-checks/meta-programme-fact-checks/ignore-claims-international-criminal-court-probing-post?utm_source=chatgpt.com

ANAANDIKA WAKILI    Nikisikia Kiumbe kinasema Tusahau yaliyopita na Tusameheane ili  kuanza  Upya k**a Taifa bila kujua ...
12/01/2026

ANAANDIKA WAKILI
Nikisikia Kiumbe kinasema Tusahau yaliyopita na Tusameheane ili kuanza Upya k**a Taifa bila kujua waliko hawa Watanganyika wenzetu huwa napata uendawazimu Mungu anisaidie.

Ninafahamu k**a Mkristo lazima kusamehe.Lakini kabla ya Msamaha lazima Msingi wa Msamaha na Kanuni zake zifuatwe kwa ukamilifu.

UKWELI ,HAKI NA UWAJIBIKAJI VITA LIPONYA TAIFA.

Eti wadau🫵
12/01/2026

Eti wadau🫵

Address

DODOMA

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ulimwengu Media posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Ulimwengu Media:

  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share