18/04/2026
ILA MASHEMU SHEMU🙌🙌🙌🙌🙌NIMETUBU
SOMA MWENYEWE
Mamu yamenikuta na Mimi nimegundua mumewangu kaoa kabisa na Ana watoto wawili wamefatana mmoja Ana 3yrs Huyu mwingine ana mwaka
Nimegundua mumewangu kalazwa alipata ajali sasa mm muda wote Niko hosp Ila kuna mdogoake muda wote ananiambia shemej kapumzike tu nyumban mm nitakaa nae Yaan nikileta chakula fasta ananiambia Shem kapumzike MIMI nitakaa nae na alikuwa na mchezo ananiuliza shem
Unakuja saa ngapi
Sikuwahi kugundua kitu Ila mm asubuh huwa siendi kwa sababu naenda kazn kwaiyo KUNA WiFi yang anadai anakuja yeye kupeleka chakula
Sasa mm Jana sijaenda kazin ilikuwa niende semina sijaenda nikasema niende hosp mapema nimekuta wameshikiana na mwanamke amemshikia magongo K**a anamtembeza
Nimewakuta kwenye korido hosp wao hawakuniona nikashangaa Huyu dada simjui Mara kwa nyuma anatokea shemej yangu kambeba mtoto ana miaka k**a mmoja hv
anamuambia Shem mchukue mtoto a Ngoja nikusaidie mana alikuwa analia wakasaidiana wakaingia wodini.....MIMI nikatembea nakaribia hod niingie mlangon nasikia mtoto anamlilia babaake mama anamwambia baba anaumwa hawez kukubeba,nikatokea wote walishangaa na mumewangu unaniona kabisaaa kimemshuka na shemeji yangu
Nikauliza tu kinaendelea nini ,Yule mtoto hakuacha kulia kumlilia babaake,
Yule mwanamke akasema MIMI mke mwenzio mumeo kanioa na tuna watoto kwani hajakuambia na hakuniambia mumeo kaniambia mumewetu Yaan ni K**a alijiandaa na shar nikamshika mumewangu fulana lake ndo Yule shemej akaja kunitoa Yaan hata kuongea nilikuwa siongei nimemshika tu namtikisa na nes akaja pale mm nikaamua kuondoka,
sijaenda hosp mpaka Leo mumewang anapiga simu na ananitumia msg nimsamehe hakunambia K**a kaoa Ila Alipanga kunambia,
Fikiria mamu miaka yote Ndio aniambie alipanga kuniambia lin wakt Ana watoto tayar,na shemej yangu mnafiki wa mwisho na hapa kwenye page yako yupo,
Shemej yangu mm anakaa dukan kwetu Yan Nimemfanya K**a nduguyangu kabisa mm ndie nilimuambia mumewang na tukafungua hiyo biashara,
Muda wote walikuwa wananiona K**a zimwi tu,sielew nifanye nini mana hata machoz Haya nitoke na mwanaume Mimi sijazaa nae hata mtoto mmoja,
Walikuwa wananiambia ni dadaake analeta chakula kumbe mwanamke wake dadaake alikuwa anakuja tu na kutoka na kwao wote wanajua niliblok mimi tu
Naomba nishauriwe nifanyaje
MIMI SASA:hapo alirudi nyumban muambie tu akauguzwe na mkewe mpk apone kwanza 😩😩