Q.mediatz

Q.mediatz ➡️ONLINE MEDIA FROMA TANZANIA
➡️WE PROVIDE ALL ENTERTAINMENT NEWES
➡️SUBSCRIBE OUR YOUTUBE CHANNELL
➡️Q.mediaTZ
➡️FOUNDER Qudra Kaiza

Msanii  ameweka wazi kuwa imepita miaka nane tangu mara ya mwisho akutane na msanii mwenzake  wao walikuwa wana wasilian...
26/07/2025

Msanii ameweka wazi kuwa imepita miaka nane tangu mara ya mwisho akutane na msanii mwenzake wao walikuwa wana wasiliana kwenye simu pasipo kuonana

“Imagine Mara ya Mwisho tumekutana ni Mwaka 2017 na tumekuwa tukiwasiliana bila Kuonana .. Baada ya Miaka Takribani 8 Jana ndo tumekutana tena na Kwa Bahati Mbaya tu Kila Mtu akiwa Kwenye Mihangaiko Yake yakwenda kutafuta rizki” Ameandika Mbosso

———————————————————————————————
Karibu kutangazi nasi biashara yako kwa Bei nafuu sana.
Wasiliana nasi +255 688 986 518

••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••

Msanii  hivi sasa anatarajia kuitwa Baba kwa mara ya kwanza akiwa na mke wake .priscy Jux alikuwa ni miongoni kati ya Wa...
24/07/2025

Msanii hivi sasa anatarajia kuitwa Baba kwa mara ya kwanza akiwa na mke wake .priscy

Jux alikuwa ni miongoni kati ya Wasanii waliokuwa wanasemwa sana kuhusu yeye kupata mtoto na hivi sasa anatarajia kupata mtoto

Kweli mwanaume akatiwi tamaa

———————————————————————————————
Karibu kutangazi nasi biashara yako kwa Bei nafuu sana.
Wasiliana nasi +255 688 986 518

••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••

Shabiki mmoja aliomba kupiga picha na msanii   lakini chakushangaza baada yakupiganae picha alimwambia Meek Mill ampe do...
23/07/2025

Shabiki mmoja aliomba kupiga picha na msanii lakini chakushangaza baada yakupiganae picha alimwambia Meek Mill ampe dola 50 ambayo ni zaidi ya laki moja za kitanzania

Meek Mill alishtuka sana lakini baadae akaamua kumpa hiyo hela shabiki huyo

———————————————————————————————
Karibu kutangazi nasi biashara yako kwa Bei nafuu sana.
Wasiliana nasi +255 688 986 518

••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••

  amewajibu  baada ya kuuliza kwanini wasanii wetu kushidwa kusainiwa kwenye lebo kubwaMsanii  amethibitisha kuwa lebo y...
21/07/2025

amewajibu baada ya kuuliza kwanini wasanii wetu kushidwa kusainiwa kwenye lebo kubwa

Msanii amethibitisha kuwa lebo ya Roc Nation ya iliyopochini ya msanii walimpelekea ofa ya kumsaini ambayo ilikuwa ni 675,000,000 lakini Diamond aliikataa ofa hiyo

Lakini Warner ambayo anafanya nayo kazi hivi sasa walimfata na kumpa ofa ya Bilioni 13.5 na akakubali kufanya nao kazi na nimoja ya lebo kubwa ulimwenguni

———————————————————————————————
Karibu kutangazi nasi biashara yako kwa Bei nafuu sana.
Wasiliana nasi +255 688 986 518

••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••

19/07/2025

Paten kila anapokuwepo basi jua hapo ni shangwe tuu

kitugani unakipenda akiwa jukwaani??

———————————————————————————————
Karibu kutangazi nasi biashara yako kwa Bei nafuu sana.
Wasiliana nasi +255 688 986 518

••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••

19/07/2025

na walivyoimba pamoja na kucheza jukwaani

———————————————————————————————
Karibu kutangazi nasi biashara yako kwa Bei nafuu sana.
Wasiliana nasi ‪+255 688 986 518‬

••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••

15/07/2025

ametangaza ujio wa Nyimbo zake mbili mpya ambazo zitatoka kabla ya mwezi wa nane, pia Harmonize ametangaza kuleta wasanii wakubwa wawili ila itakuwa mwishoni mwa mwaka huu

———————————————————————————————
Karibu kutangazi nasi biashara yako kwa Bei nafuu sana.
Wasiliana nasi +255 688 986 518

••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••

14/07/2025

Huyu msanii wa Doto Magari anapitia mengi sana jamani😅😂

14/07/2025

Ukiagiza Asake matandaoni matokeo yake ndiyo Haya sasa

14/07/2025

Huyu msanii wa Doto Magari anapitia mambo mengi k**a anakula mpaka kiporo cha Ukoko wa Ubwabwa 😂😂

———————————————————————————————
Karibu kutangazi nasi biashara yako kwa Bei nafuu sana.
Wasiliana nasi +255 688 986 518

••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••

14/07/2025

Ukiagiza Asake mtandaoni matokeo yake ndiyo Haya sasa 🤣😂

———————————————————————————————
Karibu kutangazi nasi biashara yako kwa Bei nafuu sana.
Wasiliana nasi +255 688 986 518

••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Q.mediatz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Q.mediatz:

Share