Masasi Yetu

Masasi Yetu Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Masasi Yetu, Media/News Company, Ndanda,Masasi, .

โ€ขOfficial Account for News around Masasi District and other Mtwara, Lindi and Ruvuma Districts.
โ€ขAffiliated with Facebook group>MASASI YETU(Fahari Ya Kusini)

YouTube channel tunapatikana pia
https://youtube.com/?si=muKwivJ4KQnHI0a5

๐Ÿ’Ž UNAVUTIWA NA KAMPUNI GANI YA USAFIRI KUTOKA DSM TO MASASI???????1. MANING NICE 2. BARAKA CLASS 3. SUPERFEO AND SELOUS ...
20/04/2026

๐Ÿ’Ž UNAVUTIWA NA KAMPUNI GANI YA USAFIRI KUTOKA DSM TO MASASI???????

1. MANING NICE
2. BARAKA CLASS
3. SUPERFEO AND SELOUS EXPRESS
4. BUTI LA ZUNGU
5. NAVIL LINE
6. TASHRIF
7. BARCELONA
8. TOKYO TAKARA

Hello masasi, hii ndio fahari ya kusini ๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™โœŒ๏ธโœŒ๏ธโœŒ๏ธโœŒ๏ธ

17/04/2026

๐Ÿ›‘ TAARIFA, Hatimaye mhusika wa mauaji ya Mwl.HIDAYA wa shule ya msingi Mwongozo amek**atwa๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™

Ahsanteni sana jeshi la polisi kwa jitihada zenu ๐Ÿ™๐Ÿ™

11/04/2026

๐Ÿ›‘ Hii BARABARA ya MASASI MNAZI TO LINDI NA MTWARA...... Mbovu sana ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ

02/04/2026

๐Ÿ›‘ BAADHI YA SPEECH ALIZOWAHI KUZITOA MBUNGE WA KILWA AYATI NDG SELEMANI BUNGALA (BWEGE) ENZI ZA UHAI WAKE AKIWA K**A MBUNGE.

Alikuwa kiongozi msema kweli, mpigania haki na usawa kwa wananchi wa KILWA na TANZANIA kwa ujumla. Alikemea vitendo visivyofaa na ambavyo vilikuwa kinyume na sheria na katiba ya nchi yetu.

Kwetu utabaki k**a shujaa wa kusini na Tanzania kwa ujumla, na tutaendelea kukukumbuka kwa kile ulichokipigania enzi za uhai wako๐Ÿ™๐Ÿ™

M/Mungu ampe kauli thabiti Seleman Bungala huko aendako ๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™

Tutakukumbuka BWEGE~~~~Pumzika kwa amani, ๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿฅน๐Ÿฅน๐Ÿฅน๐Ÿฅน
30/03/2026

Tutakukumbuka BWEGE

~~~~Pumzika kwa amani, ๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿฅน๐Ÿฅน๐Ÿฅน๐Ÿฅน

๐Ÿ›‘TAHARUKI | MWAL. HIDAYA HASSANI , AFARIKI KWA KUKATWA MAPANGA, AKIWA SHAMBANI KWAKE.Ni Makamu Mwalimu mkuu wa shule ya ...
29/03/2026

๐Ÿ›‘TAHARUKI | MWAL. HIDAYA HASSANI , AFARIKI KWA KUKATWA MAPANGA, AKIWA SHAMBANI KWAKE.

Ni Makamu Mwalimu mkuu wa shule ya msingi Mwongozo, Kata ya Nangoo, wilaya ya Masasi-Mtwara

Mazishi ni kesho,30|03|2026 saa 4:00asubuhi Nangoo
Muungwana One tv tunaendelea na jitihada za kupata, taarifa za kina Kabisa na tutazileta kwenu punde.

Mungu Amlaze mahali pema peponi. Amina ๐Ÿ™

Taarifa zaidi nenda

๐Ÿ’ŽWachache sana ambao wanaelewa kuhusu hizi vitu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Taja jina lake alafu kumbia ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ
25/03/2026

๐Ÿ’ŽWachache sana ambao wanaelewa kuhusu hizi vitu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Taja jina lake alafu kumbia ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ

๐Ÿ›‘ TAARIFA YA AJALI YA BUS KAMPUNI YA SUPERFEO AND SELOUS EXPRESS Siku ya jana 21/03/2026 ilitokea ajali maeneo ya MIKUMI...
22/03/2026

๐Ÿ›‘ TAARIFA YA AJALI YA BUS KAMPUNI YA SUPERFEO AND SELOUS EXPRESS

Siku ya jana 21/03/2026 ilitokea ajali maeneo ya MIKUMI ikihusisha gari aina ya Scania Marcopolo kutoka kampuni ya SUPERFEO AND SELOUS EXPRESS inayofanya safari zake kutoka Dar es salaam to Songea via Morogoro.

Hakuna vifo kutokana na taarifa za awali ๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™

๐Ÿค” SUPERFEO kwa ajali ๐Ÿค๐Ÿค๐Ÿค๐Ÿค

๐Ÿ›‘Ishi MIAKA MINGI kiongozi wa Masasi Yetu Masasi Yetu Biashara    Lukanga Ramadhani Happy birthday ๐ŸŽ‚๐ŸŽ‚๐ŸŽˆ๐ŸŽˆ๐ŸŽ‰๐ŸŽ‰๐ŸŽ‰
22/03/2026

๐Ÿ›‘Ishi MIAKA MINGI kiongozi wa Masasi Yetu Masasi Yetu Biashara

Lukanga Ramadhani Happy birthday ๐ŸŽ‚๐ŸŽ‚๐ŸŽˆ๐ŸŽˆ๐ŸŽ‰๐ŸŽ‰๐ŸŽ‰

๐Ÿ›‘TANGAZO MUHIMU LA KUTELEKEZWA MTOTO kuna uyo mtoto katelekezwa maeneo ya Kijiji cha Mbaju wilaya ya Masasi,Mkoa wa Mtwa...
21/03/2026

๐Ÿ›‘TANGAZO MUHIMU LA KUTELEKEZWA MTOTO
kuna uyo mtoto katelekezwa maeneo ya Kijiji cha Mbaju wilaya ya Masasi,Mkoa wa Mtwara na wanaodhaniwa kuwa ni wazazi wao walifika kijijini apo na kumuacha mtoto na mfuko ulio na nguo na kuondoka kusikojulikana na mwenye taarifa yoyote ya uyu mtoto ni wa nani au wa wapi basi atoe taarifa kwa namba ya simu 0689368630/0784821901
Na mtoto ana makadirio ya umri wa mwaka mmoja pia hakuna kitu chochote kwenye mfuko zaid ya nguo za mtoto na juisi ndogo ya embe aliyoachiwa na waliomtelekeza
m_foward ujumbe huu kwenye ma_group ili kupata wahusika


Follow
Masasi Yetu

๐Ÿ’Ž Mpaka sasa hivi sijapata mualiko wa Eid Mubarak.... Nikaona niende zangu dimbeni kutega MAGUMI ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
21/03/2026

๐Ÿ’Ž Mpaka sasa hivi sijapata mualiko wa Eid Mubarak.... Nikaona niende zangu dimbeni kutega MAGUMI ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Address

Ndanda,Masasi

Telephone

+255692878912

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Masasi Yetu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Masasi Yetu:

  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share