Swalahudin Foundation TZ

  • Home
  • Swalahudin Foundation TZ

Swalahudin Foundation TZ Swalahudin Foundation ni UKURASA maalum Kwa ajili kutoa taarıfa mbalimbali zihusuzo Taasisi yetu. Wote mnakaribishwa!

Huu ni UKURASA maalum kwa ajili ya mambo mbalimbali yahusuyo dini yetu tukufu ya UISLAMU!

INNAA LILLAHI WAINNAA ILAYHI RAJIOUN Ni mhudumu wa Msikiti wa BAKWATA pale Kinondoni!Allah amsamehe makosa yake mzee wet...
23/06/2025

INNAA LILLAHI WAINNAA ILAYHI RAJIOUN

Ni mhudumu wa Msikiti wa BAKWATA pale Kinondoni!

Allah amsamehe makosa yake mzee wetu.

Maandalizi ya Eid 06.06.2025Karibuni sana
31/05/2025

Maandalizi ya Eid 06.06.2025
Karibuni sana

Zingatia kwa ajili ya Allah
23/05/2025

Zingatia kwa ajili ya Allah

NAMPENDA MTUME MOHAMMAD, (S.A.W) WEWE JE?
21/05/2025

NAMPENDA MTUME MOHAMMAD, (S.A.W) WEWE JE?

21/05/2025
18/05/2025

UJUMBE MUHIMU SANA KWA WAISLAM TU

K**a wewe ni Muislam na unaifolo account hii tafadhali angalia video hii toka kwa Jafari Mponda kisha Like na Share ili upate thawabu kwa kueneza neno la Allah.

K**a hujapata mazingatio yeyote kwenye video hii basi usifanye chochote.

Tunapokea Zakaatul Fitri na kugawa kwa walengwa kwa niaba yako.Zakaatul Fitri ni lazima kwa kila Muislam mwenye uwezo.Za...
27/03/2025

Tunapokea Zakaatul Fitri na kugawa kwa walengwa kwa niaba yako.

Zakaatul Fitri ni lazima kwa kila Muislam mwenye uwezo.
Zakaatul Fitri hutoleqa ili kumtakasa mfungaji kutokana na mapungufu yaliyojitokeza wakati wa funga.

Allah azipokee funga zetu.
Arusamehe makosanyetu.

Allahuma aamin

Mtoto huyu ameokotwa mtaa wa Mbondole kata ya Msongola wilaya ya Ilala.Anaonekana kuwa na tatizo la akılı.Yupo kwa Sheik...
23/10/2024

Mtoto huyu ameokotwa mtaa wa Mbondole kata ya Msongola wilaya ya Ilala.
Anaonekana kuwa na tatizo la akılı.

Yupo kwa Sheikh Salim Haji
Simu 0715243033/0692371933

09/10/2024

Sadaka yako, Pepo yako.

Assalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh Leo siku ya Ijumaa kuanzia saa mbili kamili asubuhi Inshaa Allah nitakuwa liv...
04/10/2024

Assalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh

Leo siku ya Ijumaa kuanzia saa mbili kamili asubuhi Inshaa Allah nitakuwa live kupitia TV na Radio İmaan kuzungumza kuhusu dini yetu TUKUFU ya Usilam.

INNAA LILLAH WAINNAA ILAYHI RAJIOUNSheikh Muharram Juma Doğa amefariki Dunia usíku wa kuamkia leo.Hakika Tanzania imeond...
20/08/2024

INNAA LILLAH WAINNAA ILAYHI RAJIOUN

Sheikh Muharram Juma Doğa amefariki Dunia usíku wa kuamkia leo.

Hakika Tanzania imeondokewa na Mwanazuoni wa pekee
Hakika waislam wa Tanzania na Afrika Mashariki wamepatwa na msiba mzito sana.

Ewe MOLA wetu mlipe Malipo ya juu sana Sheikh wetu na pale alipoteleza msamehe kwa huruma Yako.

Allahuma aamin

ZAKAATUL FITRIntunafanya kazı kwa niaba yako.Allah ajalie wenye uwezo waone umuhimu wa kutekeleza ibada hii muhimu
31/03/2024

ZAKAATUL FITRI

ntunafanya kazı kwa niaba yako.

Allah ajalie wenye uwezo waone umuhimu wa kutekeleza ibada hii muhimu

Address


Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Swalahudin Foundation TZ posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Swalahudin Foundation TZ:

Shortcuts

  • Address
  • Telephone
  • Alerts
  • Contact The Business
  • Claim ownership or report listing
  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share