Digitaltvtz Update

Digitaltvtz Update Online media

Follow Us On YouTube Digitaltvtz Update ๐Ÿ‘‡

https://youtube.com/-p5p?si=5C_v4m_ggmX-L-zF

Picha za matukio mbalimbali wazee wa Simba wakiwasha moto kuwajibu wazee wa Yanga Leo.Wenyewe wanasema wao wana Afya ya ...
06/06/2025

Picha za matukio mbalimbali wazee wa Simba wakiwasha moto kuwajibu wazee wa Yanga Leo.

Wenyewe wanasema wao wana Afya ya akili ila wanawasiwasi na wazee wenzao wa upande wa pili๐Ÿ˜‚

Wanasema bodi ya Ligi nzuri Yanga akicheza na Singida na Pamba ila Kwa Simba mbaya?

Wanasema Sasi kafungiwa kosa moja lakini mbona Kayoko hawakuona hukumu?

Wanasisitiza k**a Yanga vidume kweli walete timu uwanjani tarehe kumi na tano๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Credit

Follow Us

Breking News Follow us on YouTube  Cc             trending
05/06/2025

Breking News Follow us on YouTube

Cc trending

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limethibitisha kusitisha shughuli zote za Kanisa linaloongozwa na Askofu J...
03/06/2025

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limethibitisha kusitisha shughuli zote za Kanisa linaloongozwa na Askofu Josephat Gwajima, kufuatia agizo la kisheria kutoka Ofisi ya Msajili wa Mashirika ya Kijamii. Kamanda Jumanne Muliro amesema hatua hiyo ni utekelezaji wa maagizo halali ya kisheria kutoka kwa mamlaka husika.

Kamanda Muliro amesisitiza kuwa iwapo uongozi wa kanisa hilo unatamani kurejea katika shughuli zao, ni lazima wafuate taratibu za kisheria, ikiwemo kukata rufaa kwa mamlaka husika. Amesema kwa sasa, Polisi wanasimamia utekelezaji wa agizo la kusitisha huduma zote za kanisa hilo k**a sehemu ya kuhakikisha sheria na kanuni za usajili zinazingatiwa.

๐Ÿ˜ญ tuko live muda huu kutokea mahak**a ya hakimu mkazi kisutu, share video, subscribe ujionee yanayoendelea๐Ÿ‘‡
02/06/2025

๐Ÿ˜ญ tuko live muda huu kutokea mahak**a ya hakimu mkazi kisutu, share video, subscribe ujionee yanayoendelea๐Ÿ‘‡

breaking News. **ani ...

02/06/2025

Subscribe YouTube channel yetu kwa taarifa Mbalimbali ๐Ÿ‘‡ ...

Kutokea Tanzanite Kwaraa ๐ŸŸ๐Ÿ‘‡ Simba Sc 1-3 Singida Black Stars Kwa matokeo hayo Singida Black Stars wanafanikiwa kuingia k...
31/05/2025

Kutokea Tanzanite Kwaraa ๐ŸŸ๐Ÿ‘‡
Simba Sc 1-3 Singida Black Stars
Kwa matokeo hayo Singida Black Stars wanafanikiwa kuingia katika hautua ya Fainali ya CRDB Federation wakienda kupepetuana na Wananchi Yanga Sc.

Nini kimemfelisha mnyama siku ya Leo? ๐Ÿ‘‡
Follow Us On YouTube

Powered by And

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255788509024

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Digitaltvtz Update posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Digitaltvtz Update:

Share