Japhet Vicent

Japhet Vicent Mr basstone

Niwakumbushe tu jamaa zangu wa Zanzibareeeee hiii siyo ya kukosa tumebakiwa na siku church tu mualike na mwingine au iko...
08/08/2024

Niwakumbushe tu jamaa zangu wa Zanzibareeeee hiii siyo ya kukosa tumebakiwa na siku church tu mualike na mwingine au ikowezekana torokeni mje haha njoo tumsifu na kumuabudu Mungu kwa pamoja,ni tarehe 1 mwezi wa 9 2024.

WATU WANAOKUTUMIA KWA MANUFAA YAO NA KUONA KWAMBA WEWE HUNA MAMBO MENGINE YA KUFANYA ISIPOKUWA YA KWAO TU NA SIKU USIPOT...
23/07/2024

WATU WANAOKUTUMIA KWA MANUFAA YAO NA KUONA KWAMBA WEWE HUNA MAMBO MENGINE YA KUFANYA ISIPOKUWA YA KWAO TU NA SIKU USIPOTOKEA KWENYE JAMBO LAO UNAWAUDHI SANAA NA WANAKUONA MKOSA MKUBWA NA KUANZA KUSIMA UNAJIINUA ,WANAFIKIA KIASI CHA KUKASIRIKA KWA KIASI KIKUBWA NIKWAMBIE KITU NDUGU YANGU,JUA WEWE NI ZAIDI ALMASI THAMANI YAKO NI KUBWA MNOO NA JUA KUNA MAHALI UNATAKIWA UFIKE. TAFAKARI NA KUCHUKUA HATUA HAPO ULIPO HAWATA SEMA THAMANI YAKO UNTIL YOU GO.

Weka sadaka  yako ili kusapoti Ibada hii ya kusifu na Kuabudu na Mungu atakubariki sana.
08/07/2024

Weka sadaka yako ili kusapoti Ibada hii ya kusifu na Kuabudu na Mungu atakubariki sana.

Hello watu wa Mungu Bwana Yesu asifiwe ,tunakuja kwenu sisi vijana ambao tunamtumikia Mungu kwa vipaji alivyotuma kwa ku...
03/06/2024

Hello watu wa Mungu Bwana Yesu asifiwe ,tunakuja kwenu sisi vijana ambao tunamtumikia Mungu kwa vipaji alivyotuma kwa kumsifu na kumuabudu yeye,hivyo tunaomba sapoti katika maandalizi ya Ibada hii ambayo tunatarajia kuifanya mwez wa 9 tarehe 1 mwaka huu 2024. Unaweza kutuma sadaka yako kwa namba zilizoko hapo na Mungu atakubariki Amen.

Hello Zanzibar hii sio ya kukosa na tunaomba radhi tarehe imebadiliaka ila mwezi ndio uleule usipange kukosa.
20/05/2024

Hello Zanzibar hii sio ya kukosa na tunaomba radhi tarehe imebadiliaka ila mwezi ndio uleule usipange kukosa.

Eeeeeeh bwana Zanzibar Eeeeeeh kumekuchaaaa hii sio ya kukosa kabisaaaaaaa k**a tayari halafu mwambie na jirani yako hii...
06/05/2024

Eeeeeeh bwana Zanzibar Eeeeeeh kumekuchaaaa hii sio ya kukosa kabisaaaaaaa k**a tayari halafu mwambie na jirani yako hii ni ya pekee kabisaaa.

Yoooo
15/04/2024

Yoooo

Is by Grace
06/04/2024

Is by Grace

Mimi ni wa Yesu na mikononi mwake niko salama
05/02/2024

Mimi ni wa Yesu na mikononi mwake niko salama

24/01/2024
Ni Grace
23/12/2023

Ni Grace

Tumshukuru Mungu yeye aliyetuchagua kumtumia. Napenda nikukaribishe katika hii ewe uliyoko Zanzibar .
22/12/2023

Tumshukuru Mungu yeye aliyetuchagua kumtumia. Napenda nikukaribishe katika hii ewe uliyoko Zanzibar .

Address

Mombasa
Zanzibar City

Telephone

+255713828479

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Japhet Vicent posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share