Soccer Planet

Soccer Planet Share page yetu ili kunipa support zaidi -Football Activist
-Analyst

Rais wa Klabu ya Young Africans (  ) Mhandisi Hersi Ally Said (  )usiku wa kjamkia leo alihudhuria Mchezo kufuzu Mashind...
05/09/2025

Rais wa Klabu ya Young Africans ( ) Mhandisi Hersi Ally Said ( )usiku wa kjamkia leo alihudhuria Mchezo kufuzu Mashindano ya CONMEBOL kati ya Brazil dhidi ya Chile ambapo Mchezo huo ulimalizika kwa Brazil kushinda bao 3-0.

Pichani ni Eng Hersi akiwa kiungo wa ushambuliaji wa timu ya Taifa ya Brazil na Klabu ya Chelsea Estevao Willian ambaye alifunga bao moja kwenye mchezo huo na kuibuka MAN OF THE MATCH.

01/09/2024

FactπŸ˜„πŸ˜„

01/09/2024

Fact
01/09/2024

Fact

"...Nitumie fursa hii k**a Mwenyekiti wa Wasemaji wote Afrika kuwa alichokisema CEO wa Bodi ya Ligi Kuu Almas Kasogo ile...
06/08/2024

"...Nitumie fursa hii k**a Mwenyekiti wa Wasemaji wote Afrika kuwa alichokisema CEO wa Bodi ya Ligi Kuu Almas Kasogo ile ni amri na si ombi , ikiwa k**a una kipaji kingine tofauti na Usemaji ni vyema ukaungana na Futuhi au Cheka tu "

- Ally Kamwe , Afisa Habari wa klabu ya Young Africans via Mpenja TV.

πŸš¨π“π”π™πŽ 𝐙𝐀 𝐓𝐅𝐅 2023/24.Ibrahim Bacca Amechukua Tuzo ya Beki Bora NBCPL 2024.
01/08/2024

πŸš¨π“π”π™πŽ 𝐙𝐀 𝐓𝐅𝐅 2023/24.

Ibrahim Bacca Amechukua Tuzo ya Beki Bora NBCPL 2024.

Tuzo ya Kocha Bora wa Ligi Kuu ya NBC imekwenda kwa Master Miguel Gamondi
01/08/2024

Tuzo ya Kocha Bora wa Ligi Kuu ya NBC imekwenda kwa Master Miguel Gamondi


"Tuzo ya Kiungo bora ni ya Aziz Ki haihitaji mjadala, tusilete uzawa wala huruma kwa wazawa hii tuzo sio zawadi anapewa ...
01/08/2024

"Tuzo ya Kiungo bora ni ya Aziz Ki haihitaji mjadala, tusilete uzawa wala huruma kwa wazawa hii tuzo sio zawadi anapewa anayestahili"

-George Ambangile
(Mchambuzi wa wasafi Fm)

... 🚨 π—¨π—Ÿπ—”π—‘π—šπ—¨π—­π—œ, 𝗠𝗔𝗑𝗔π—₯π—”β€œYanayoandikwa hayana ukweli, mimi ndio Bingwa wa Propaganda, kilichofanyika ni ulanguzi ni k**a k...
01/08/2024

... 🚨 π—¨π—Ÿπ—”π—‘π—šπ—¨π—­π—œ, 𝗠𝗔𝗑𝗔π—₯𝗔

β€œYanayoandikwa hayana ukweli, mimi ndio Bingwa wa Propaganda, kilichofanyika ni ulanguzi ni k**a kusema Harmonize Chukua tiketi 7000, mwingine chukua tiketi 6000, mwingine nunua 8000 alafu mtakwenda kulangua siku ya mechi."

β€œSisi hatufanyi biashara ya ulanguzi, wananchi hatulangui, tiketi bei yake imetangazwa na tutaziuza kwa mujibu wa utaratibu na tutatofautisha baina ya Sold Out ya ulanguzi na Full House ya ukweli, namba zitazungumza siku ya mechi,”

©️Haji Manara

Msemaji wa Young Africans.

YANGA TIKETI BURE➑️ Young Africans SC kwa kushirikiana na Mpango wa Taifa Damu Salama kesho Alhamisi kutakuwa na zoezi l...
31/07/2024

YANGA TIKETI BURE

➑️ Young Africans SC kwa kushirikiana na Mpango wa Taifa Damu Salama kesho Alhamisi kutakuwa na zoezi la uchangiaji Damu.

➑️ Zitatolewa tiketi za bure kwa mashabiki na wanachama wa Yanga wote watakaoshiriki.

Nyie supu tu, Uwanjani Aaah
31/07/2024

Nyie supu tu, Uwanjani Aaah

... 🚨 π——π—¨π—žπ—˜ π—¨π—¦π—”π—π—œπ—Ÿπ—œ 𝗕𝗒π—₯𝗔 π—­π—”π—œπ——π—œKocha wa Dodoma jiji, Mecky Mexime akiongea na Efm radio leo amesema .."Msimu ujao ligi ita...
31/07/2024

... 🚨 π——π—¨π—žπ—˜ π—¨π—¦π—”π—π—œπ—Ÿπ—œ 𝗕𝗒π—₯𝗔 π—­π—”π—œπ——π—œ

Kocha wa Dodoma jiji, Mecky Mexime akiongea na Efm radio leo amesema ..

"Msimu ujao ligi itakuwa nguma zaidi kwa sababu timu zimeboresha vikosi vyao, hasa Yanga. Yanga tayari wanakikosi kizuri lakini wameboresha kwa kufanya usajili"

"Duke Abuya nimemfundisha pale Ihefu, naweza kusema Abuya ndio usajili bora zaidi wa Yanga SC dirisha hili, ni mchezaji bora aliyekamilika ambaye kila mwalimu angetamani kuwa na mchezaji k**a huyo kwa sababu anakupa kila kitu unachohitaji"

"Hajaimbwa sana lakini nauhakika ataimbwa sana ligi itakapoanza"

©️ Mecky Mexime
kocha wa klabu ya Dodoma jiji.

Address

Amani
Zanzibar

Telephone

+255693549707

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Soccer Planet posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share