ASAM MEDIA

ASAM MEDIA Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from ASAM MEDIA, Media/News Company, KIJANGWANI, Zanzibar.

31/10/2025
Matokeo ya Wagombea Urais Jimbo la Nungwi.
30/10/2025

Matokeo ya Wagombea Urais Jimbo la Nungwi.

Matokeo ya Wagombea Urais wa Jimbo la Tumbatu
30/10/2025

Matokeo ya Wagombea Urais wa Jimbo la Tumbatu

Matokeo ya Wagombea Urais wa Jimbo la Kojani
30/10/2025

Matokeo ya Wagombea Urais wa Jimbo la Kojani

30/10/2025

"Zoezi la upigaji kura Zanzibar ni shwari"

Matokeo ya Wagombea Urais Jimbo la Jang’ombe.
30/10/2025

Matokeo ya Wagombea Urais Jimbo la Jang’ombe.

30/10/2025

Zoezi la Upigaji kura Jimbo la Chaani

Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dkt. Mohammed Said Mohammed “Dimwa”, leo ameshiriki katika zoez...
29/10/2025

Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dkt. Mohammed Said Mohammed “Dimwa”, leo ameshiriki katika zoezi la upigaji kura katika kituo cha Mpendae, kilichopo Wilaya ya Mjini, Mkoa wa Mjini Magharibi – Zanzibar.

Dkt. Dimwa amewataka wananchi wote wa Zanzibar kujitokeza kwa wingi katika vituo vyao na kutumia haki yao ya kikatiba kwa amani na utulivu, akisisitiza kuwa uchaguzi ni fursa muhimu ya kuimarisha demokrasia na maendeleo ya nchi.

Amepongeza maandalizi mazuri yaliyofanywa na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) katika kuhakikisha zoezi la kupiga kura linafanyika kwa uwazi na utulivu mkubwa.

Mgombea wa nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Hussein Ali Mwinyi, leo ameshiriki zoezi ...
29/10/2025

Mgombea wa nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Hussein Ali Mwinyi, leo ameshiriki zoezi la upigaji kura katika kituo cha kupigia kura Kariakoo, kilichopo Wilaya ya Mjini, Mkoa wa Mjini Magharibi – Zanzibar.

Dkt. Mwinyi aliwasili kituoni hapo mapema asubuhi, akiambatana na viongozi kadhaa wa chama, ambapo alipokelewa kwa utulivu na wananchi waliokuwa wakijitokeza kutekeleza haki yao ya kikatiba.

Baada ya kupiga kura, Dkt. Mwinyi ametoa wito kwa wananchi wote wa Zanzibar kujitokeza kwa wingi katika vituo vyao vya kupigia kura, kufanya hivyo kwa amani, utulivu na upendo, akisisitiza kuwa uchaguzi ni njia ya kidemokrasia ya kuchagua viongozi wanaowataka.

29/10/2025

Tukio la kusikitisha limetokea usiku wa tarehe 24 Oktoba 2025 katika eneo la Nungwi, Wilaya ya Kaskazini Unguja, baada ya mtoto mchanga wa k**e kupoteza maisha kufuatia kutupwa ndani ya shimo la maji (kisima).

Kwa mujibu wa maelezo ya Sheha wa Shehia ya Nungwi Kiungani, Ndugu Makame Machu, tukio hilo liligundulika majira ya saa tatu usiku, na juhudi za wananchi pamoja na vyombo vya usalama zilifanyika haraka kumtoa mtoto huyo, lakini kwa bahati mbaya alishafariki dunia.

Asam Online TV imezungumza pia na msamaria mwema aliyeshuhudia tukio hilo, ambaye amesema alihuzunishwa sana kuona kitendo cha kikatili k**a hicho, akitoa wito kwa jamii kuacha vitendo vya unyanyasaji na ukatili dhidi ya watoto wasio na hatia.

Address

KIJANGWANI
Zanzibar

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when ASAM MEDIA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share