Dhahabu Online TV

Dhahabu Online TV MAISHA SIRI

15/07/2025
Kila siku Baada ya Swala ya Laasiri
02/03/2025

Kila siku Baada ya Swala ya Laasiri

RC KITWANA AWATAKA WAFANYABIASHARA KUACHA KUBIASHARA PEMBEZONI MWA BARABARAMkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Idrissa Kitwa...
21/02/2025

RC KITWANA AWATAKA WAFANYABIASHARA KUACHA KUBIASHARA PEMBEZONI MWA BARABARA

Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Idrissa Kitwana Mustafa amewataka wafanya biashara kuacha kufanya biashara katika maeneo ya pembezoni mwa barabara na badala yake kufanya biashara zao katika maeneo maalum yaliyotewekwa na Serikali.

Akizungumza na wafanyabiashara wa maduka , mitumba na bidhaa nyengine walio nje ya masoko ya Mwanakwerekwe na Jumbi Mhe Kitwana amesema Serikali imekuwa ikiendelea kuimarisha mazingira bora kwa wafanya biashara hivyo si jambo jema kuendelea kufanya biashara katika njia wapita kwa miguu na maeneo ya akiba ya barabara.

Ameleza kuwa kumekuwa na kawaida wauza maduka kuweka bidhaa za nje ya maduka jambo ambalo limekuwa likipoteza haiba nzuri ya mji na kusababisha msongamano wa watu jambo ambalo ni magari kinyume na utaratibu wa sheria .

Aidha amewasisitiza wafanyabiashara kufanya biashara kwa mashirikiano na kuacha kubaguana kwa upande mtu anaotoka na badala yake kufanya kazi kwa pamoja huku wakijua watanzania wote ni wamoja.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Magharibi B Hamida M***a Khamis ameahidi kusimamia maagizo yaliotolewa kwa kufanya oparation maalum pamoja na kuwataka wafanyabiashara hususani wauza mitumba ambao bado hawajaingia katika maeneo waliyotengewa ndani ya masoko kwenda kufanya biashara zao katika maeneo waliopangiwa.

Oparation hiyo ya kuwaondoa wafanya biashara katika maeneo yasio rasmi ikmekuja kufuatia ongezeka la wafannyabiashara kufanya biashara katika maeneo yasio rasmi jambo linalopoteza haiba nzuri ya mji.

Mwisho.

Tarehe 20.02.2025   Mkuu wa Wilaya ya Magharibi B Hamida M***a Khamis   ameungana na wananchi wa Shehia mbali mbali pamo...
21/02/2025

Tarehe 20.02.2025 Mkuu wa Wilaya ya Magharibi B Hamida M***a Khamis ameungana na wananchi wa Shehia mbali mbali pamoja na wanafunzi wa baadhi ya Skuli katika zoezi la Uchangiaji Damu kwa Ajili ya akiba ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani Zoezi ambalo limefanyika katika VIwanja vya Nyarugusu Shehia ya Pangawe Wilaya ya Magharibi B

11/12/2024

DC Hamida atoa ufafanuzi wa video inayoonyesha kuwa soko la Kwerekwe linatiririsha maji ya Chooni

Address

Zanzibar

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dhahabu Online TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share