BUSIA Border RADIO

BUSIA Border RADIO The Best Radio station in Busia County with best mix of music and presenters. Embraced with well packaged and comprehensive News bulletins.
(1)

Mbunge wa Budalangi Raphael Wanjala ameikosoa  serikali ya kitaifa kwa kile ametaja ni kutengwa katika miradi za maendel...
18/07/2025

Mbunge wa Budalangi Raphael Wanjala ameikosoa serikali ya kitaifa kwa kile ametaja ni kutengwa katika miradi za maendeleo kwenye kaunti ya busia .

kulingana na Wanjala kaunti ya busia haijavuna pakubwa kimaendelea kutoka kwa serikali kuu licha ya kaunti hiyo kuwa lango kuu la kuingia na kutoka kwenye mataifa ya jumuiya ya Afrika Mashariki.

kwa sasa anasema k**a viongozi kutoka busia wataunga mkono serikali iwapo tu miradi za maendeleo zitatekelezwa

|| BUSIA Border RADIO 89.9fm ||

Like || Comment and listen to busia border fm .||

18/07/2025

Public secondary schools at breaking point as students skip meals, teachers sent home over funds misapropriate

Man United wamekubali mkataba wa £70m kumnunua Bryan Mbeumo kutoka Brentford.Baada ya wiki kadhaa ya mazungumzo hatimaye...
18/07/2025

Man United wamekubali mkataba wa £70m kumnunua Bryan Mbeumo kutoka Brentford.

Baada ya wiki kadhaa ya mazungumzo hatimaye United na brentford yakubaliana badaa ya kiungo huyo kuitaka tu United..

Baada ya Cunha, Mbeumo anatua Manchester United.

🛒 LEO UNGEPENDA KUSHOP NINI UKIPEWA KSH 100,000? 😍Lotto inakupa chance ya kushinda Shopping Voucher ya KSH 100,000 – mam...
18/07/2025

🛒 LEO UNGEPENDA KUSHOP NINI UKIPEWA KSH 100,000? 😍
Lotto inakupa chance ya kushinda Shopping Voucher ya KSH 100,000 – mambo ya kuskuma trolley hadi imejaa! 🤩🛍️
👉 Cheza na 50 bob tu – Paybill: 777000
Account: SASA
💬 Sema ungenunua nini ukiwin!

Bunge la kaunti ya busia hatimaye  limezindua mikakati ambayo itaongoza na kupeana mwelekeo mwafaka wa kutoa huduma kwa ...
18/07/2025

Bunge la kaunti ya busia hatimaye limezindua mikakati ambayo itaongoza na kupeana mwelekeo mwafaka wa kutoa huduma kwa wakaazi katika kaunti ya busia kwa muda wa miaka mitano 2025-2029.

Kwenye uzinduzi wa mpango huo mkurugenzi wa mipango ya kiuchumi Dr. Leah Chirchir anasema, litaisaidia bunge hilo katika kuafiki malengo yao hii ikiwa kuboresha utawala wa bunge hilo ,utoaji wa huduma kwa wakaazi miongoni mwa masuala mengine .kwa mengi zaidi sikiliza👇

|| BUSIA Border RADIO 89.9fm ||

Like || Comment || Follow for more updates

Mwanaume mmoja raia wa Uturuki, mwenye umri wa makamu amefikishwa katika mahak**a ya busia kwa madai ya kumnajisi msicha...
17/07/2025

Mwanaume mmoja raia wa Uturuki, mwenye umri wa makamu amefikishwa katika mahak**a ya busia kwa madai ya kumnajisi msichana mwenye umri wa miaka 17 kwenye maeneo ya sokoni mjini Busia.

inadawa kuwa mwanaume huyo aliyetambulika kwa jina Uguz Reced alitekeleza uovu huo kati ya tarehe 27 mwezi juni na tarehe tisa mwezi wa saba kabla ya kuk**atwa.

Hata hivyo amekanusha shtaka hilo mbele ya hakimu mkuu wa mahak**a ya busia Edna Nyaloti, mahak**a ikiamuru azuiliwe katika Gereza la Korinda hadi ijumaa wiki hii kabla ya kubaini hatma yake iwapo atapewa bondi au la.

|| BUSIA Border RADIO 89.9fm ||

Like || Comment || Follow for more

BOOST MWEZI HUU NA KSH 1,100,000! 💥Start biashara ya hardware, fungua duka ya furniture, lipa rent, school fees na zile ...
17/07/2025

BOOST MWEZI HUU NA KSH 1,100,000! 💥
Start biashara ya hardware, fungua duka ya furniture, lipa rent, school fees na zile bills za kichwa ngumu k**a loan! 😤💸


PLUS 🎁 kuna Shopping Voucher ya KSH 100,000 inakungojea!


👉 PAYBILL: 777000
👉 ACCOUNT: SASA
👉 AMOUNT: KSH 55


Cheza sasa – Chomoka na Chapaa! 🔥

17/07/2025

Student killed, one other injured in a road accident at Lukolis market in Teso, Busia County; irate resident set ablaze the trailer that caused the accident.

Top headlines today on Magazines...
17/07/2025

Top headlines today on Magazines...

Kipindi hewani ni Daraja la faraja naye binti wa yesu 5:00am - 6:00am . Amka tuombe, katika ulimwegu wa kiroho kuna watu...
17/07/2025

Kipindi hewani ni Daraja la faraja naye binti wa yesu 5:00am - 6:00am . Amka tuombe, katika ulimwegu wa kiroho kuna watu wanapambania maisha yako , Ndugu amka Uombe.

|| BUSIA Border RADIO 89.9fm ||

Like || Comment || Follow

Between the four who will carry the day in August 2027 to become governor of Busia County?
16/07/2025

Between the four who will carry the day in August 2027 to become governor of Busia County?

Official🚨Kenyan international Aldrine Kibet joins Spanish outfit Celta Vigo in a deal until 2029🇰🇪He is expected to feat...
16/07/2025

Official🚨

Kenyan international Aldrine Kibet joins Spanish outfit Celta Vigo in a deal until 2029🇰🇪

He is expected to feature mostly for Celta Fortuna, the reserve team for Celta Vigo as he progresses through the ranks🤩

Address

Busia

Telephone

+254791269092

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when BUSIA Border RADIO posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to BUSIA Border RADIO:

Share