The slate news Updates

The slate news Updates Hii ni page kwa ajiri habari na matukio yakijamii na yakisiasa pia habari za burudani na michezo

06/12/2021

NAFASI ZA *WAUZAJI NA WASAMBAZAJI*
====================

D LIGHT TANZANIA LIMITED ni kampuni ya kuuza na kusambaza vifaa vya nishati jua (Solar Energy products), yenye ofisi zake zilizopo, mtaa wa 57 Haille Selassie, na Sanduku la Posta 1378 Arusha na tawi lake Katika mkoa wa Dodoma pia Iringa

D LIGHT TZ LTD Inayofuraha kutangaza nafasi za wauzaji na wasambazaji wa bidhaa kwa Malipo ya kamisheni katika mkoa wa Dodoma/Iringa na wilaya zake.

*Nafasi:* MUUZAJI (SEP)
*Kuripoti.* WAKALA (EC),
*Kituo ch kazi* DODOMA/IRINGA

*Majukumu*
```kupokea vifaa vya nishati jua kutoka kwa Duka la wakala (Experience Centre)

Kuwasiliana na Wateja kupokea oda wakati wote

Kufuatilia na kuhakikisha madeni ya Wateja yanalipwa kwa wakati.

Kuuza/kufanya biashara ya mauzo ya vifaa vya nishati jua kuzingatia na kuendana na mfumo wa mauzo atakaopangiwa

kufikia malengo ya uuzaji/biaashara aliyowekewa

kuhudhuria mafunzo na semina mbalimbali zitakazokuwa zikitolewa na mkufunzi/wakufunzi kutoka kwa

anapaswa kuwa nadhifu wakati wote wa kufanya biashara ya mauzo na kutumia lugha nzuri na ya ushawishi wa kibiashara.

*Sifa*
Mtanzania
Mkazi wa Dodoma/ Iringa
Mwenye umri wa miaka 18 au zaidi
Awe mwenye akili timamu
Awe na Elimu ya kidato cha nne na kuelendelea
Awe na taaluma ya biashara ambayo ni sifa ya Ziada.

*Ujuzi*
Awe na ujuzi na maarifa ya masoko na biashara.
Udereva wa pikipiki/Gari ni sifa ya Ziada
```

*Mahitaji*
Nakala kitambulisho Uraia (NIDA)
Barua ya utambulisho kutoka Serikali ya mtaa
Picha passport size mbili
Barua ya uthibitisho kutoka kitu cha polisi inayothibitishwa hujawahi kufanya makosa ya jinai
Barua za wadhamini wawili zilizoambatanishwa na picha zao ( passport size) mbili
Nakala za vyeti vya kuhitimu masomo

Tafadhali unaweza kuwasilisha Maombi yako kupitia
Email [email protected]
au wasap number 0655042287
```
Kwa maelezo zaidi piga simu namba
*0655042287*

Mwisho wa kupokea maombi ni ``` *saa 10:00 Jioni Jumatano Tarehe 01 july 2021*

05/20/2021

NAFASI ZA *WAUZAJI NA WASAMBAZAJI*
====================

D LIGHT TANZANIA LIMITED ni kampuni ya kuuza na kusambaza vifaa vya nishati jua (Solar Energy products), yenye ofisi zake zilizopo, mtaa wa 57 Haille Selassie, na Sanduku la Posta 1378 Arusha na tawi lake Katika mkoa wa Dodoma pia Iringa

D LIGHT TZ LTD Inayofuraha kutangaza nafasi za wauzaji na wasambazaji wa bidhaa kwa Malipo ya kamisheni katika mkoa wa Dodoma/Iringa na wilaya zake.

*Nafasi:* MUUZAJI (SEP)
*Kuripoti.* WAKALA (EC),
*Kituo ch kazi* DODOMA/IRINGA

*Majukumu*
```kupokea vifaa vya nishati jua kutoka kwa Duka la wakala (Experience Centre)

Kuwasiliana na Wateja kupokea oda wakati wote

Kufuatilia na kuhakikisha madeni ya Wateja yanalipwa kwa wakati.

Kuuza/kufanya biashara ya mauzo ya vifaa vya nishati jua kuzingatia na kuendana na mfumo wa mauzo atakaopangiwa

kufikia malengo ya uuzaji/biaashara aliyowekewa

kuhudhuria mafunzo na semina mbalimbali zitakazokuwa zikitolewa na mkufunzi/wakufunzi kutoka kwa

anapaswa kuwa nadhifu wakati wote wa kufanya biashara ya mauzo na kutumia lugha nzuri na ya ushawishi wa kibiashara.

*Sifa*
Mtanzania
Mkazi wa Dodoma/ Iringa
Mwenye umri wa miaka 18 au zaidi
Awe mwenye akili timamu
Awe na Elimu ya kidato cha nne na kuelendelea
Awe na taaluma ya biashara ambayo ni sifa ya Ziada.

*Ujuzi*
Awe na ujuzi na maarifa ya masoko na biashara.
Udereva wa pikipiki/Gari ni sifa ya Ziada
```

*Mahitaji*
Nakala kitambulisho Uraia (NIDA)
Barua ya utambulisho kutoka Serikali ya mtaa
Picha passport size mbili
Barua ya uthibitisho kutoka kitu cha polisi inayothibitishwa hujawahi kufanya makosa ya jinai
Barua za wadhamini wawili zilizoambatanishwa na picha zao ( passport size) mbili
Nakala za vyeti vya kuhitimu masomo

Tafadhali unaweza kuwasilisha Maombi yako kupitia
Email [email protected]
au wasap number 0655042287
```
Kwa maelezo zaidi piga simu namba
*0655042287*

Mwisho wa kupokea maombi ni ``` *saa 10:00 Jioni Jumatano Tarehe 01 june 2021*

Rais Mhe Samia Suluhu Hassan akijumuika chakula cha mchana na watoto wenye mahitaji maalum ikulu
04/04/2021

Rais Mhe Samia Suluhu Hassan akijumuika chakula cha mchana na watoto wenye mahitaji maalum ikulu

12/20/2020

MKOPO RAHISI Banc ABC

Ni mkopo kwa watumishi wa umma na ambao wameajiliwa kazi wizarani na baadhi ya watumishi wa Vyuo vikuu.

Sifa za mkopo rahisi.
Kwanza hautumii muda mrefu kuupata.
Hakuna gharama za kuuchakata mkopo.
Pia mkopo wetu unauwezo wa kufuta deni muda wowote mara tu baada yakuupata mkopo.
Na mengineyo tunaweza kuzungumza...

Piga simu 0715123013
Au [email protected]

12/17/2020

TIMIZENI WAJIBU WENU KWA WELEDI NA MAADILI

NA DANSON KAIJAGE,DODOMA

KATIBU Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Idara kuu ya Afya Prof. Mabula Mchembe amewataka Maafisa Afya ngazi zote kufanya kazi zao kwa weledi na kufuata maadili wakati watimizapo majukumu yao katika jamii.

Prof. Mchembe ameyasema hayo, wakati wa Mkutano wa Maafisa Afya mazingira wenye kauli mbiu ya "Zingatia mahitaji ya Jinsia kwa usafi wa mazingira endelevu " uliofanyika Jijini Dodoma.

"Tusimamie maadili sana, usitende kitu kwa kufikiria kwamba unamfanyia fulani, natambua changamoto zipo katika baadhi ya sehemu, lakini tunahitaji kutimiza wajibu wetu kwa maadili na uwaminifu wa hali ya juu" alisema Prof. Mchembe.

Pia, Prof. Mchembe amewataka Maafisa Afya mazingira kusimamia usafi katika maeneo ya huduma za vyoo katika jamii, hususan katika ofisi na vituo vya daladala ambavyo huudumia Jamii kwa kiasi kikubwa ili kuikinga Jamii dhidi ya magonjwa ya milipuko.

Aidha, Prof. Mchembe amewaagiza Maafisa Afya mazingira nchini kusimamia usafi na ubora wa vyakula katika maeneo yote yanayotoa huduma za vyakula, yakiwemo maeneo ya migahawa na hoteli ili kuikinga jamii na magonjwa ya tumbo na kuhara.

Mbali na hayo Prof. Mchembe ametoa wito kwa Maafisa afya mazingira kujiepusha na vitendo vya Rushwa wakati wa wakitimiza majukumu yao na kuhakikisha usafi wa mazingira unaendelea kufuatwa katika ngazi zote za Jamii.

"Tuachane na Rushwa, inawezekana baadhi ya sehemu unafika pale, unapewa 10,000 au unapewa bia mbili au tatu unaondoka zako, kitu ambacho hakina maana, sasa k**a wewe ni Mtaalamu wa Afya simama kwenye maadili yako" alisema Prof. Mchembe.

Hata hivyo, Prof. Mchembe amewaagiza Maafisa afya mazingira nchini, kusimamia udhibiti wa takataka zinazotokana na utoaji wa huduma za afya ili kuendelea kuikinga jamii dhidi ya maambukizi yatokanayo na taka hizo.

Naye Kaimu Mganga Mkuu wa Serikali, ambae pia ni Mkurugenzi wa huduma za Kinga Wizara ya Afya, Maendel

12/16/2020

WIZARA YA AFYA YAJIPANGA KUZINDUA MPANGO WA KITAIFA WA AFYA NA USAFI WA MAZINGIRA

NA DANSON KAIJAGE,DODOMA

WIZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto amepanga kuzindua Mpango Mkakati wa Kitaifa wa Afya na Usafi wa Mazingira kwa mwaka (2021-25) unaolenga kupunguza mlipuko wa magonjwa yanayotokana uchafuzi wa mazingira hasa kipindupindu na kuhara.
Mkakati huo unalenga kuboresha afya ya wananchi juu ya maswala ya afya ya mazingira na usafi wa mazingira kwa kuunda jukwaa la kuruhusu Wizara, taasisi na wadau kushiriki juhudi na kutoa utaalam katika kutatua vizuizi kadhaa vinavyosababisha uchafuzi wa mazingila na kutafuta ufumbuzi wa kuboresha hali ya afya ya mazingira na usafi wa mazingira nchini Tanzania.
Taasisi ambazo zinalengwa kushiriki katika mkakati huo wa kutoa elimu ya kimkakati kwa afya na usafi wa mazingira ambazo ni Wizara za Elimu, maji, Ofisi ya Waziri Mkuu (Serikali za Mitaa na Tawala za Mikoa), Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba Tanzania (TMDA,) Shirika la Viwango Tanzania (TBS) na Wakala wa Barabara Vijijini (TARURA).
Maelezo hayo yametolewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Prof Mabula Mchemba wakati akizungumza na Maofisa Afya na Mazingira Tanzania bara 2020 katika mkutano mkuu wa mwaka uliofanyika Jijini Dodoma unaoendelea kwa siku nne.
Katika hotuba yake ya ufunguzi, Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, amesema kuwa afya ya mazingira na usafi wa mazingira ni eneo nyeti kwani inahusika na afya ya kisaikolojia, afya ya akili ya binadamu.
Kutokana na hali hiyo Prof Mchemba amewataka watumishi wote wanaotoa huduma ya afya pamoja na usafi wa mazingira kuhakikishanwanafanya kazi kwa ueledi pamoja na kueshimiana wao kwa wao pamoja na kutoa huduma sahihi kwa wateja wao.
"Kumekuwepo na changamoto kubwa ya usafi hata kwenye taasisi zetu katika ofisi nyingi za Umma,mashuleni bado kuna tatizo la usafi wa mazingira unaweza kuingia katika ofisi hata kwenye hospitali lakini utashangaa kukutana na vyoo vikiwa vichafu.

FURSA FURSA FURSAKwako wewe Mtumish wa umma na ulie ajiriwa wizarani na shirika la umma.Habari! Karibu BancABC, upate Mk...
12/10/2020

FURSA FURSA FURSA
Kwako wewe Mtumish wa umma na ulie ajiriwa wizarani na shirika la umma.

Habari! Karibu BancABC, upate Mkopo Rahisi,
1-Hakuna gharama za kuchakata Mkopo.
2-Sio lazima uwe na Account bancABC, utapata fedha kupitia account yako.
3-Mteja ana Uhuru wa kurudia Mkopo (Top up)
4-Mteja anaruhusiwa kufuta Mkopo Muda wowote
5-Tuna nunua Madeni toka Benki zingine, Loan board, Sacco's,na Taasisi za FEDHA.
Pia unachukua muda mchache mpaka kuupara.
Karibu nasi tukuhudumie.
Dodoma - Fika Uhindindi Jirani na Chef Asili au Jengo la BIMA/NIDA.
KARIBU tukuhudumie,
Ikumbukwe kuwa mkopo tunaotoa unabima kabisa na pia utakushika mkono popote utakapo pata matatizo.
Piga 0715123013 au 0656439819 kwa maelezo zaidi.

Afisa Mikopo.
SELEMANI M. MUBARAKA.

11/01/2020

Amsterdam aomba Jumuiya ya Madola kuingilia Uchaguzi Mkuu wa Tanzania

Amsterdam aomba Jumuiya ya Madola kuingilia Uchaguzi Mkuu wa Tanzania
Wakili wa aliyekuwa mgombea Urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu, Robert Amsterdam ameiandikia barua jumuiya ya madola na kuiambia kuwa kuna ubadhilifu mkubwa umefanyika katika uchaguzi wa Tanzania hivyo ameomba Jumuiya ya Madola kuingilia Uchaguzi huo.
Barua Yenyewe Ilioandikwa kwa Kizungu hii hapa:

JEREMY WISTEN AJIUA KWA MAWAZONA  SELEMANIMUBARAKAKINDA wa Man City, Jeremy Wisten (17), inadaiwa kuwa amejiua kutokana ...
10/28/2020

JEREMY WISTEN AJIUA KWA MAWAZO

NA SELEMANIMUBARAKA

KINDA wa Man City, Jeremy Wisten (17), inadaiwa kuwa amejiua kutokana na msongo wa mawazo baada ya kuachwa na klabu hiyo.
Jeremy ni mzaliwa wa Malawi ambaye alihamia England na familia yake wakati akiwa bado mdogo na baadaye kuanza maisha yake soka akiwa na Juniors FC na 2014 akajiunga na De la Salle FC.
Mwaka 2016 alisajiliwa na Man City katika kikosi cha U-13 na kuanza safari yake ya soka ambapo hakupata nafasi timu ya wakubwa, hata hivyo, vyanzo vya baadhi vinaripoti kuwa mchezaji huyo kajiua huku wengine wakiripoti kifo chake pasipo kutaja sababu.

10/27/2020

Uchaguzi Tanzania 2020: Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo Maalim Seif ak**atwa Zanzibar

Mwenyekiti wa chama cha ACT Wazalendo Maalim Seif amek**atwa kisiwani Zanzibar.
Maalim Seif alik**atwa na maafisa wa polisi mapema leo katika kituo cha kupigia kura cha Garagara hatua ambayo imeshutumiwa vikali na viongozi wa upinzani.
Taarifa zinaarifu kwamba barabara inayoelekea katika kituo hicho imefungwa huku vitoa machozi vikirushwa.
Hapo jana Tume ya uchaguzi kisiwani Zanzibar ilisema kwamba ni maafisa wa polisi na wale wa kusimamia uchaguzi watatakaoruhusiwa kupiga kura katika siku ya kwanza ya uchaguzi.
Ilisema kwamba hatua hiyo inalenga kuwapatia fursa maafisa hao ambao wamekuwa wakikumbwa na changamoto ya kushiriki katika uchaguzi huo.

10/26/2020

WAGOMBEA BK "V",BK MJINI WAFUNGA KAMPEINI RASM

NA MWANDISHI WETU

WAGOMBEA ubunge jimbo la Bukoba Vijini Conchesta Rwamlaza na Cheifu Kalumuna wote Chadema wamefunga kampeini zao za ubunge kwa kishindo.
Wakifunga mikutano ya Kampeini wagombea hao wamesema kuwa wanawashukuru wanachi kwa kuweza kuhudhuria mikutano yao na kusikiliza Sera zao kwa umakini mkubwa.
Licha ya kuwasgukuru wanachi ambao ni wapiga kura wamevishukuru vyambo vya ulinzi na usalama kwa kulinda mikutano yao ya kampeini na kusababisha mikutano yao kuwa salama.
"Tunawashukuru wananchi kwa kuwa waaminifu katika kufika katika mikutano yetu na mmeweza kutusikiliza vyema na hamkuweza kusababisha fujo bali mlisikiliza sera.
" Lakini pia tuchukue nafasi hii kuvishukuru vyombo vya ulinzi na usalama kwa kuweza kusimamia vyema mikutano yetu ya kampeini bila kuwa na mikwaluzano yoyote"amesema Conchesta.
Pamoja na mambo mengine Conchesta amewaomba wapiga kura kujitokeza kwa wingi kupiga kura na wasiwe na wasiwasi kwani katika uchaguzi huu mtu ambaye atashinda kwa halali lazima atatangazwa.
Conchesta amefunga kampeini zake katika kata ya Kemondo Jimbo la Bukoba vijijini huku akisisitiza vipaumbele vyake sita ambavyo ni miundombinu ya barabara, Afya,kilimo,uvuvi,Maji,Elimu huku akiomba kupewa ridhaa ya kuwa mbunge wa jimbo hilo kwa faida ya maendeleo ya wana Bukoba Vijijini.
Naye Cheifu Kalumuna mgombea ubunge Jimbo la Bukoba Mjini Chadema amefunga kampeini zake katika kata ya Kashai huku maelfu ya wananchi wakiwa wamefurika.
Chief Kalumuna ambaye amewahi kuwa Meya wa halmashauri ya Manispaa ya Bukoba mjini amewataka wapiga kura kuhakikisha wanajitokeza kupiga kura na kulinda kura zao.
Mwisho.

Address

Brooklyn, NY

Telephone

+255656439819

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when The slate news Updates posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to The slate news Updates:

Share