Swahili show, Sagal Radio

Swahili show, Sagal Radio Swahili Show on Sagal Radio serves the mission of educating and empowering the New Americans as well

01/31/2021

Live

BREAKING NEWS,KENYAN MP DIES
12/04/2020

BREAKING NEWS,KENYAN MP DIES

https://youtu.be/7-bek2hMLgMWatch and subscribe please
12/10/2019

https://youtu.be/7-bek2hMLgM
Watch and subscribe please

POLICE commissioner from vigilance house Ligala Opiyo has gone against all odds after arresting driver who tried to bribe him with 500shs

03/09/2018

UPINZANI KENYA WAAMUA KUSHIRIKIANA NA SERIKALI.

Rais wa taifa la kenya Uhuru Kenyatta ijumaa hii amekutana na kinara wa muungano wa upinzani Raila Odinga na kufanya mazungumzo ya faraga yaliochukua zaidi ya saa nzima baadae wakihutubia taifa na kuahidi kuzika katika kaburi la sahau tofauti zao na kushirikiana.

wawili hao waliokuwa kwenye jumba la harambee jijini Nairobi wamesema hawatakubali kamwe taifa la kenya liangamie katika kipindi cha uongozi wao na watashirikiana kuunganisha wananchi wa taifa hilo.

Raila Odinga aliapishwa k**a rais wa wananchi na amekuwa na msimamo mkali dhidi ya uongozi wa Kenyatta na amenukuliwa mara si moja akisema hamtambui rais Uhuru kenyatta k**a rais wa Kenya..taarifa zadi kufuata.

MVUA YASABABISHA MSONGAMANO MKUBWA WA MAGARI KENYA.By Michael MutindaWasafiri na abiria nchini kenya  wametaabiki leo kw...
03/04/2018

MVUA YASABABISHA MSONGAMANO MKUBWA WA MAGARI KENYA.
By Michael Mutinda

Wasafiri na abiria nchini kenya wametaabiki leo kwa zaidi ya saa kumi na tano kufuatia msongamano mkubwa wa magari kwenye barabara kuu ya mombasa kwenda katika jiji kuu la taifa hilo nairobi.

Msongamano huo ulioanza jumamosi usiku baada ya ajali iliyotokea mjini athirive baina ya gari ndogo na lori ambapo mtu mmoja alipoteza maisha ulizidishwa na mvua kubwa inayoendelea kushuhudiwa katika maeneo mbalimbali mwa taifa hilo.

Hata hivyo maafisa wa polisi wa trafiki kutoka kaunti ya mcahakos walifanikiwa kufungua msongamano japo baada ya muda mrefu.
Barabara ya Mombasa Nairobi ni mojawapo ya barabara zenye magari mengi zaidi nchini kenya na ni muhimu kwani inaunganisha pwani ya nchi hiyo na makao makuu ya taifa la kenya na wembamba wake umekuwa sababu kuu za misongamano kila wakati sasa ikitarajiwa kupanuliwa karibuni baada ya taifa la kenya kuweka sahihi na serikali ya marekani itakayopanua barabara hiyo.

04/20/2015

The act by some GSU office inthe Kenyan coast to beat up two journalists who were in line of duty should be condemned by all and sphere legal Action taken against the culprits..
as a Journalist the act has strengthen me... recovery brothers

shutting down the city the Kenyan Way on the 29th this month.. All with ThanksGiving y'all... Kenyans around the US and ...
11/10/2014

shutting down the city the Kenyan Way on the 29th this month.. All with ThanksGiving y'all... Kenyans around the US and Esp Atlanta GA, Its a +254 THING so welcome all.. Entrance, $20 ONLY!!!! at the NEW AR LOUNGE....

You always wanted to meet or hear from Boniface Mwangi?? This is the time!! He will be at Kennesaw State University as a...
10/10/2014

You always wanted to meet or hear from Boniface Mwangi?? This is the time!! He will be at Kennesaw State University as artist-in-residence. Below is the schedule, be there and show your support:
"He is scheduled to arrive on October 19, and will be at KSU from October 20-24. In addition to classroom talks (two each day, see attached), he will speak at the Atrium where his work is being exhibited. This gallery talk is scheduled for Thursday, October 23, at 6:00 p.m.

Meanwhile, we have already obtained and exhibited his 2008 work, "Never Again." The exhibit is up in the Atrium of the Social Sciences building, the space where Muthoni had the Storymoja readings last May. The exhibit is powerful; the photos are stunning and the story is compelling. Several people have already walked through today. On Monday or so, we are placing a comments book next to the exhibit for viewers' comments.Please invite members of the Kenyan Diaspora community to view the exhibit and to attend his lecture on October 23 at 6 p.m. If you think a different time will be better, please let me know. We will also like to provide some Kenyan food at the reception on that day.

I hope you and your family are well. Have a great weekend.

Sincerely,

~~
Akanmu G. Adebayo, Ph.D.
Director, Center for Conflict Management"

Now Open..2015 MANDELA WASHINGTON FELLOWSHIP APPLICATION.. Join YALI and prepare for future leadership..;; :) https://yo...
10/07/2014

Now Open..2015 MANDELA WASHINGTON FELLOWSHIP APPLICATION.. Join YALI and prepare for future leadership..;; :) https://youngafricanleaders.state.gov/?utm_source=Young+African+Leaders+Initiative+Network%2C+U.S.+Department+of+State&utm_campaign=c1874aa69d-2015_MWF_Application_Open_A_K9_29_2014&utm_medium=email&utm_term=0_bcb92aa5d8-c1874aa69d-113614373&mc_cid=c1874aa69d&mc_eid=e5996bd83d

Lessons for My Community: Mandela Washington Fellow Setshswano Ngope “Come prepared to offer solutions to the problems.” Setshswano Ngope heard U.S. first lady Michelle Obama say that when she was a youngster, her parents continually told her that she... Read More Date: September 29, 2014/Author: YA…

Address

4151 Memorial Drive
Decatur, GA
30032

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Swahili show, Sagal Radio posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Swahili show, Sagal Radio:

Share