benjathekingofficial_new

benjathekingofficial_new Funny , meme , trick and comedy videos πŸ˜‚ , breaking news and sport news πŸ™

K**A UMEZALIWA FAMILIA MASKINI SOMA UJUMBE HUU MPAKA MWISHO...Usitazame ni familia gani umetokea fahamu kuwa una uwezo w...
09/15/2025

K**A UMEZALIWA FAMILIA MASKINI SOMA UJUMBE HUU MPAKA MWISHO...

Usitazame ni familia gani umetokea fahamu kuwa una uwezo wa kutengeneza utajiri hata k**a umetoka kwenye familia ya hali ya chini namna gani,

_Fahamu njia za kuwa tajiri hata k**a umetoka kwenye familia masikini._

πŸ‘‰Anza kuwekeza sasa.

Utajiri haujengwi kwa siku moja bali unatengezwa kwa siku nyingi,

Ili uweze kuwa tajiri lazima uanze kuwekeza sasa ili baadae uweze kumiliki huo utajiri,

Haijalishi ni kiasi gani unachowekeza, bali tabia ya uwekezaji ndiyo muhimu zaidi.

πŸ‘‰ Lazima ujifunze elimu ya fedha.

Lazima uwe na uelewa kuhusu pesa,

Usipo kuwa na uelewa kuhusu pesa utakuwa mtu wa kuingiza na kutoa pesa tu bila kufanya chochote,

Ili uweze kufanikiwa lazima ufahamu au ujifunze kuhusu elimu ya fedha kwa mwendelezo bila kuacha.

πŸ‘‰ Weka bajeti kwenye lengo lako.

Ishi kwa kupanga malengo na kuyaandalia bajeti yake.
Ili uweze kufanikiwa lazima uwe na bajeti kwenye lile lengo ambalo unataka kulikamilisha.

Ukitembea hivi hivi hauta weza kufanikiwa utaishia kuwa masikini k**a ulivyo toka kwenye familia yako.

Kumbuka bajeti ni kuiambia pesa yako iende wapi na si kujiuliza imeenda wapi unapokuwa huioni.

πŸ‘‰ Ishi maisha rahisi.

Usiishi juu ya kipato chako, jitahidi sana matumizi yasizidi kipato chako,

Acha kutumia pesa kifahari wakati ndo kwanza unajitafuta,

Tengeneza kwanza msingi wa pesa zako.

πŸ‘‰ Kuwa na vyanzo vingi vya mapato.

Kuwa na mgawanyo wa vyanzo vyako vya mapato,

Hii itakusaidia hata k**a chanzo kimoja kiki yumba basi vyanzo vingine vitaendelea kuleta mapato,

Hauta kaukiwa kabisa na mapato.

Note: Kuzaliwa kwenye familia masikini sio kosa ila kosa ni wewe kufa masikini, jitahidi sana uepuke kufa masikini kwa kisingizio cha familia yako.

Learn more to earn more

LEAVE THE GREAT LIFE

benjathekingofficial_new Benjaminlucipaofficial

Manchester United kwenye soko la hisa la New york kwa mujibu wa jarida la Forbes ina thamani ya Dola za kimarekani 6.6 B...
09/08/2025

Manchester United kwenye soko la hisa la New york kwa mujibu wa jarida la Forbes ina thamani ya Dola za kimarekani 6.6 Bilioni ($6.6B) ikiwa ni klabu namba 2 duniani nyuma ya Real Madrid wenye thamani ya dola za kimarekani 6.75 Bilioni ($6.75B) wakati mapato ya Man united kwa mwaka 2024/2025 yalikuwa ni ($834M) thamani ya kikosi cha Man United msimu huu ni (€748.20M).

Thamani ya Man City sokoni "Brand" ni ($5.3B) ila thamani ya kikosi chake cha msimu huu ni (€1.23B) zaidi ya Man United ila thamani sokoni wamepitwa na Man United.

Unapozungumzia thamani sokoni sio pesa kwa maana ya HARD CASH sio kwamba timu yako ndio ina pesa nyingi Afrika, zipo timu zina pesa nyingi ila thamani ya timu zao ni ndogo, mfano mdogo ni Mamelodi Sundowns, wana pesa nyingi kutokana na uwekezaji wa tajiri wao ila Chapa yao ina thamani kubwa sokoni? Jibu ni hapana, kwahiyo inaeleweka kusikia thamani ya Brand ya YANGA ni kubwa kuliko Sundowns.

Thamani yako ni kabla ya kuvaa hizo brands za nguo na accessories LV, PRADA, WEWE UKIWA mtupu thamani yako ni kiasi gani? YANGA ni 100 BILIONI!

Nb : watu wanachanganya ma files πŸ˜‚

πŸŒ•πŸ”₯ Blood Moon Tonight – September 7, 2025 πŸ”₯πŸŒ•Tonight, the sky transforms into a cosmic stage as the Super Blood Moon Ecli...
09/08/2025

πŸŒ•πŸ”₯ Blood Moon Tonight – September 7, 2025 πŸ”₯πŸŒ•

Tonight, the sky transforms into a cosmic stage as the Super Blood Moon Eclipse unfolds above us. πŸŒ‘πŸ”΄ The Moon, usually silver and calm, will be swallowed by Earth’s shadow and reborn in shades of crimson and copper. It is a sight that has inspired myths of prophecy and change for thousands of years, and now we get to witness it with our own eyes.

🌌 The Cosmic Event

As the eclipse begins, Earth blocks the Sun’s light, leaving only sunlight bent through our atmosphere to reach the Moon. The result is breathtaking: the Moon glowing red, like a fiery lantern suspended in the night. Because this eclipse coincides with a supermoon, the Moon will look larger and brighter than usual, amplifying the drama of the night sky.

πŸ¦‰ Symbols in the Night

Owls take flight under the glow of the Blood Moon, echoing ancient associations of wisdom, mystery, and transformation. In many cultures, the owl was seen as a messenger between the world of the living and the realm of the unknown β€” and tonight, silhouetted against the crimson Moon, it feels as though myth has come alive.

🌍 Shared Across the World

From deserts to forests, from icy poles to bustling cities, people will pause tonight to look up. The same Moon that guided ancient civilizations, carved into stone and sung about in legend, now shines for us β€” a reminder that we are all connected under one sky.

⏰ When and How to Watch

Date: September 7, 2025

Peak Eclipse: When the Moon glows its deepest crimson in total shadow

Duration: Several hours β€” giving time for reflection, wonder, and photography

Tips:
β€’ No telescope needed β€” visible to the naked eye
β€’ Use a tripod for photos
β€’ Frame the Moon with landscapes or silhouettes for cinematic shots

πŸ‘‰ The Blood Moon Tonight is more than astronomy. It is a night where science, myth, nature, and human imagination converge in a single breathtaking moment. πŸŒ‘βœ¨ Don’t just look β€” feel the wonder.

JE IPI NI THAMANI YA YOUNG AFRICANS, NI BILLION MIA AMA CHINI? Baada ya kuchapisha andiko kuhusu THAMANI ya Young Africa...
09/07/2025

JE IPI NI THAMANI YA YOUNG AFRICANS, NI BILLION MIA AMA CHINI?

Baada ya kuchapisha andiko kuhusu THAMANI ya Young Africans nikapokea simu kutoka kwa Mwalimu wangu ambaye kwasasa ni Mwalimu wa Uchumi kwenye Chuo Kikuu moja wapo nchini, alianza kwanza na swali lake kwangu.

Farhan una Followers Million Moja unaweza kupost tangazo kwa Laki ila mwingine ana Followers laki tano na akapost tangazo kwa Million, unaelewa maana yake? Sikumuelewa ila jibu lake ni kuwa kila kitu ni STANDARDS unazojiwekea.

Mwalimu wangu akaniuliza tena swali, Manchester United haifanyi vizuri kwenye mpira ila bado ni biashara kubwa na ya moto kwenye soko la hisa, unaelewa maana yake? Hapa tena nikakosa majibu ndipo akaanza darasa lake.

Cha kwanza kabisa Klabu yoyote ina namna nyingi za kujipa thamani yake, kwa kesi k**a Manchester United atakutazamia thamani ya mikataba yake kibiashara, idadi ya Wanachama wake na purchasing power, huyu lazima awe na nguvu kubwa kwenye soko.

Kwa suala la Young Africans, Mwalimu akaanza kutoa darasa lake rasmi k**a Yanga ana Wanachama 91,000 duniani kote chukua wote kwa thamani ni 2.8 Billion kwa mwaka hapo ni Wanachama pekee bila Mashabiki na bila kugusa purchasing power yao, ni mtaji huu kwa Klabu.

Mwalimu akaniuliza kuhusu bajeti ya Yanga msimu huu ni Billion 33 hapo akauliza k**a operation costs ndani ya miaka mitatu unafikia thamani ya Klabu iweje uone Billion 100 ni kubwa? Ambayo hiyo ni asking price?

Mwalimu akaendelea kwamba pale Jangwani ni eneo la Yanga, tukisema tulipeleke sokoni kuuza pale patauzwa bei gani? Maana yake thamani ya Jangwani nayo ina maelekezo yake kwenye Billion 100 maana ni Asset ya Yanga.

Mwalimu ak**aliza kwa kuniuliza, endapo Yanga angemuuza Mzize wangepata Billion 5 je Billion tano inaingia kwenye account za Yanga si ndio? Maana yake chukua thamani ya vikosi vyote vya Yanga pia unapaswa kujumlishia kwenye thamani ya Billion 100, unaona haifiki? Aliniuliza Mwalimu.

Mwalimu akauliza kuhusu commercial rights za Yanga kwa maana ya mikataba yao kibiashara kuanzia Azam, Sportpesa, GSM, Haier na Visit Zanzibar hapo wanaingiza kiasi gani? Vipi k**a tukiingia kugusa pesa za zawadi?

Mwalimu kaeleweka?

πŸ†•οΈ kuna kitu kinaitwa "INTELLECTUAL PROPERTY" Nini maana yake kwa klabu ya mpira?Ni mali isiyoonekana (intangible asset)...
09/07/2025

πŸ†•οΈ kuna kitu kinaitwa "INTELLECTUAL PROPERTY" Nini maana yake kwa klabu ya mpira?
Ni mali isiyoonekana (intangible asset) ambayo inalindwa kisheria na inahusiana na ubunifu, jina na utambulisho wa klabu. Kwa Yanga, IP ni kubwa kwa sababu ya historia na jina lililojengwa zaidi ya miaka 80.

SHUKA CHINI---

1. Nembo na Jina (Trademarks)
Nembo rasmi ya Yanga SC.
Jina β€œYoung Africans SC” na β€œYanga SC.”
Kauli mbiu.
Hivi vyote vinaweza kusajiliwa na BRELA au kimataifa kupitia WIPO ili kulinda chapa.

2. Mauzo ya Bidhaa (Merchandising Rights)
Jezi rasmi, tracksuit, kofia, skafu, na bidhaa zote zenye nembo ya Yanga. Mapato yote kutoka kwa bidhaa hizi yanategemea IP (kwa sababu chapa ndiyo inauza).

3. Haki za Matangazo na Udhamini (Commercial Rights)
Udhamini kutoka makampuni k**a SportPesa, GSM, Haier unategemea nguvu ya brand (IP). Nembo na jina la Yanga hutumika kwenye mabango, matangazo na kampeni.

4. Haki za Kidigitali (Digital IP)
Akaunti rasmi za Yanga kwenye YouTube, Instagram, Facebook, TikTok. Haki za kutengeneza na kuuza digital content (vipindi, highlights, documentaries, NFTs).

5. Haki za Kihistoria na Utambulisho (Heritage & Identity)
Historia ya Yanga tangu 1935, rekodi za ubingwa, hadithi za wachezaji wakubwa. Hii ni mali ya kipekee inayoweza kutumiwa kibiashara (makumbusho ya Yanga, vitabu, filamu, documentaries).

SASA NISIKILIZE KWA MAKINI:

πŸ“Š Kwanini IP ni muhimu kwenye thamani ya Yanga?
- Ni sehemu ya mali kubwa zaidi ya klabu (brand value).
- Inatoa uwezo wa kibiashara kupitia udhamini, matangazo, na mauzo ya bidhaa.
- Inaleta nguvu ya soko kwa sababu mashabiki wanatambulisha nafsi zao na Yanga.

HAPO NDIPO ILIPOLALA THAMANI YA BILIONI 100 ZA BILA HATA KUTAJA THAMANI ZA WACHEZAJI!

Sometimes, the universe reminds us to pause, look up, and marvel at its beauty. Tonight is one of those nights when it w...
09/07/2025

Sometimes, the universe reminds us to pause, look up, and marvel at its beauty. Tonight is one of those nights when it will be showing off.

At exactly 8:30pm, the Blood Moon will rise, casting a deep crimson glow across the night sky. For those watching from Nairobi, the peak moment will come at 9:11pm, before slowly fading away at 9:52pm

Planet Saturn will also be sharing the stage with the moon, creating a rare cosmic pairing.

Looking forward to this spectacle that will last over an hour.

Former WCB signee Rayvanny reveals he has earned 63.8k dollars in the last 28 days from Facebook that's about 9 million ...
09/06/2025

Former WCB signee Rayvanny reveals he has earned 63.8k dollars in the last 28 days from Facebook that's about 9 million kenyan shillings and if he changes it to Tanzania shillings it'll be kokoko πŸ˜…πŸ˜…

08/26/2025

Jokes πŸ˜‚

He will host the meeting, teaching how to earn money while you're at home with your family, the meeting due on sunday 8/...
08/14/2025

He will host the meeting, teaching how to earn money while you're at home with your family, the meeting due on sunday 8/17 . WELCOME

My website : www.asumani.com

Address

3703 Kearney Avenue
Fort Worth, TX
76106

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when benjathekingofficial_new posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share