04/01/2026
Mchekeshaji maarufu kutoka Senegal na ambaye anaishi Italy ameepuja mtego wa wazungu ๐๐ฟ๐๐ฟ
Mwaka 2024 mwezi wa sita alifunga Harusi ya kiisilamu na mwadada , Wendy Thembelihle ambaye ni raia wa ๐ฎ๐น
Mwaka huu mke wake kaelekea mahakamani kudai talaka na kutaka kugawana Mali kati Kwa kati ๐ญ
Khaby Lame Ameitwa mahakamani na kuwasilisha documents za utajiri wake ๐ค mahakama imempata Khaby Lame na utajiri wa 0% vitu vyoote anavyovimiliki ameviweka chini ya jina la BABA YAKE MZAZI ๐๐ฟ๐๐ฟndio baba yake mzazi ๐๐ฟ๐๐ฟ๐๐ฟmwanamke alikuwa na USD million 10 Kwa account hivyo imebidi wagawane hiyo 10 million so 5 mill imerudi Kwa Khaby Lame ๐ญ