06/12/2021
NAFASI ZA *WAUZAJI NA WASAMBAZAJI*
====================
D LIGHT TANZANIA LIMITED ni kampuni ya kuuza na kusambaza vifaa vya nishati jua (Solar Energy products), yenye ofisi zake zilizopo, mtaa wa 57 Haille Selassie, na Sanduku la Posta 1378 Arusha na tawi lake Katika mkoa wa Dodoma pia Iringa
D LIGHT TZ LTD Inayofuraha kutangaza nafasi za wauzaji na wasambazaji wa bidhaa kwa Malipo ya kamisheni katika mkoa wa Dodoma/Iringa na wilaya zake.
*Nafasi:* MUUZAJI (SEP)
*Kuripoti.* WAKALA (EC),
*Kituo ch kazi* DODOMA/IRINGA
*Majukumu*
```kupokea vifaa vya nishati jua kutoka kwa Duka la wakala (Experience Centre)
Kuwasiliana na Wateja kupokea oda wakati wote
Kufuatilia na kuhakikisha madeni ya Wateja yanalipwa kwa wakati.
Kuuza/kufanya biashara ya mauzo ya vifaa vya nishati jua kuzingatia na kuendana na mfumo wa mauzo atakaopangiwa
kufikia malengo ya uuzaji/biaashara aliyowekewa
kuhudhuria mafunzo na semina mbalimbali zitakazokuwa zikitolewa na mkufunzi/wakufunzi kutoka kwa
anapaswa kuwa nadhifu wakati wote wa kufanya biashara ya mauzo na kutumia lugha nzuri na ya ushawishi wa kibiashara.
*Sifa*
Mtanzania
Mkazi wa Dodoma/ Iringa
Mwenye umri wa miaka 18 au zaidi
Awe mwenye akili timamu
Awe na Elimu ya kidato cha nne na kuelendelea
Awe na taaluma ya biashara ambayo ni sifa ya Ziada.
*Ujuzi*
Awe na ujuzi na maarifa ya masoko na biashara.
Udereva wa pikipiki/Gari ni sifa ya Ziada
```
*Mahitaji*
Nakala kitambulisho Uraia (NIDA)
Barua ya utambulisho kutoka Serikali ya mtaa
Picha passport size mbili
Barua ya uthibitisho kutoka kitu cha polisi inayothibitishwa hujawahi kufanya makosa ya jinai
Barua za wadhamini wawili zilizoambatanishwa na picha zao ( passport size) mbili
Nakala za vyeti vya kuhitimu masomo
Tafadhali unaweza kuwasilisha Maombi yako kupitia
Email [email protected]
au wasap number 0655042287
```
Kwa maelezo zaidi piga simu namba
*0655042287*
Mwisho wa kupokea maombi ni ``` *saa 10:00 Jioni Jumatano Tarehe 01 july 2021*