East Africa News

East Africa News Entertainment | Sports | Gossip | Trends | News | Funny I Here is Home of Updates | Follow us For More
(3)

Mwanamuziki Foby amefunguka kuachwa kisa Taifa stars kupitia instagram yake foby ameandika"Nimeachwa tena kwasababu ya T...
08/07/2025

Mwanamuziki Foby amefunguka kuachwa kisa Taifa stars kupitia instagram yake foby ameandika"Nimeachwa tena kwasababu ya Taifa Stars 🥹🥲,Ila uzuri Stars wanapata matokeo mazuri,japo baridi na joto kwenye mwili wangu,Raha na huzuni kwa pamoja ,Siyo mbaya Fresh tu🫶🏾✊🏾" Ameandika- Foby

Kupitia mtandao wa instagram wa msanii Feza Kesi amechapisha picha mpya kuandika ujumbe huu''nataka kummuudhi mwanaume m...
08/07/2025

Kupitia mtandao wa instagram wa msanii Feza Kesi amechapisha picha mpya kuandika ujumbe huu''nataka kummuudhi mwanaume mmoja tu maisha yangu yote.Ameandika-Feza Kesi

''ah kapuliza gesi yanik**a ule mtungi wa gesi mtu aupulize ukafanya kazi kulikuwa na miujiza ambayo  wanafanya unajua h...
08/07/2025

''ah kapuliza gesi yanik**a ule mtungi wa gesi mtu aupulize ukafanya kazi kulikuwa na miujiza ambayo wanafanya unajua hawa watu wanaitwa mapasta wanavile vitu siyo vya kawaida wanatumiaga nguvu za giza.Alisema -Mama Love Kungwi

Muigizaji Zaiylissa ameweka wazi kuwa yupo mbioni kuolewa kwa mara nyingine tena.''ndoa anaiona yani tegemeeni lolote mt...
08/07/2025

Muigizaji Zaiylissa ameweka wazi kuwa yupo mbioni kuolewa kwa mara nyingine tena.

''ndoa anaiona yani tegemeeni lolote mtoto wa mtu kak**atika sijachukua muda kwakua nimeona ni mtu sahihi na nimejiridhisha .Alisema-Zaiylissa

Pichani ni msanii wa mziki wa bongo fleva kutokea nchini Tanzania Harmonize akiwa na mtoto wake Zuuh Konde .
08/07/2025

Pichani ni msanii wa mziki wa bongo fleva kutokea nchini Tanzania Harmonize akiwa na mtoto wake Zuuh Konde .

Kipi ni bora kwako upige picha na msanii wa mziki wa bongo fleva Phina tz au upewe milioni miatano taslimu?
08/07/2025

Kipi ni bora kwako upige picha na msanii wa mziki wa bongo fleva Phina tz au upewe milioni miatano taslimu?

''Mwanaume asili yako ni utafute pesa tafuta pesa utoe usapoti-Alisema-Jasinta MakwabeVipi wakuu mnakubaliana naye?
08/07/2025

''Mwanaume asili yako ni utafute pesa tafuta pesa utoe usapoti-Alisema-Jasinta Makwabe

Vipi wakuu mnakubaliana naye?

Kupitia mtandao wa instagram wa video vixen wa kwenye wimbo wa salama aliofanya Barnaba na Diamond .Stella Mbunge amecha...
08/07/2025

Kupitia mtandao wa instagram wa video vixen wa kwenye wimbo wa salama aliofanya Barnaba na Diamond .Stella Mbunge amechapisha picha mpya na kuandika maneno yafuatayo''JIKUBALI❤️‍🔥❤️‍🔥🥰😍UNAWEZA KUA YEYOTE YULE KATIKA HII DUNIA😋ITS ALL ABOUT TIME🙏💫💫💫
QUEEN 👸 WORLD💫💫💫💫.Ameandika-Stella Mbunge

''Mahusiano siyo ishu sana kuwa kwenye mahusiano nataka mahusiano yenye ela zake akija  mtu awe na ela nini siyo anakuja...
08/07/2025

''Mahusiano siyo ishu sana kuwa kwenye mahusiano nataka mahusiano yenye ela zake akija mtu awe na ela nini siyo anakuja mtu wa pangu pakavu anakuomba tena ela baby utakuwa na elfu hamsini hapo hayo mapenzi siyataki.Alisema-Zuwena Platnumz

''Ipo hivi wewe sasa hivi ungetajiwa dola milioni mia hata k**a utalipa jua tu kwamba dishi lako hatlitakaa sawa  ukisem...
08/07/2025

''Ipo hivi wewe sasa hivi ungetajiwa dola milioni mia hata k**a utalipa jua tu kwamba dishi lako hatlitakaa sawa ukisema uipigiee hesabu ile ela ningefanyia hivi hivi kwasababu ety kisa ulikuwa unanishikia maiki mambo ya kulipishana ni mabaya hata k**a nimekuja kukopa kwa moyo wangu kulipa ni vita wewe ukitaka kugombana na mtu mkopeshe kwasababu deni halitakuja unavyotaka wewe utalilipa zaidi tu kwajinsi alivyotambulishwa yammi nilikuwepo palm village nakumbukanandy ndio alimtafuta yammi siku anatambulishwa binti yeye mwenyewe alisema wazazi walisema huyu binti hatakiwi kufanya mziki kwasababu ya vitu hivi hivi-Alisema-Gigy

Miezi miwili imepita tangu msanii Lava Lava aondoke kwenye lebo ya WCB, lebo iliyomtambulisha kwenye ulimwengu wa Bongo ...
08/07/2025

Miezi miwili imepita tangu msanii Lava Lava aondoke kwenye lebo ya WCB, lebo iliyomtambulisha kwenye ulimwengu wa Bongo Fleva. Tangu kuondoka kwake, Lava Lava hajawahi kuchapisha chochote kuhusu maisha yake binafsi au kazi yake ya muziki kwenye mitandao ya kijamii, hali iliyowafanya mashabiki wake wajiulize maswali mengi.

Hata hivyo, kuna dalili zinazoonyesha kwamba huenda msanii huyo anajiandaa kuachia jambo jipya. Tumegundua kwamba amebadili picha yake ya wasifu (profile picture) kwenye Instagram. Picha hiyo mpya ina rangi ya bluu iliyokolea, rangi ya bluu iliyofifia, na nyeupe, picha k**a hiyo pia ameiweka kwenye InstaStory.

Mabadiliko haya madogo lakini ya maana yamefanya tujiulize: Je, hii ni ishara kwamba Lava Lava anajiandaa kutoa wimbo EP au albamu mpya?

Wewe mdau wa Bongo Fleva unafikiriaje?

Aliyewahi kuwa spika wa Bunge la Jamuhuri ya muungano Jobu Ndugai amefariki dunia.
08/06/2025

Aliyewahi kuwa spika wa Bunge la Jamuhuri ya muungano Jobu Ndugai amefariki dunia.

Address

Kawe Street
Louisville, KY
72063

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when East Africa News posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category