East Africa News

East Africa News Entertainment | Sports | Gossip | Trends | News | Funny I Here is Home of Updates | Follow us For More๐ŸŽฅ
(3)

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, M***a Azzan Zungu ametangaza kifo cha mbunge wa Viti maalum Halima Id...
01/18/2026

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, M***a Azzan Zungu ametangaza kifo cha mbunge wa Viti maalum Halima Idd Nassor kilichotokea hii leo Januari 18, 2026 katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) alipokuwa akipatiwa matibabu.

"Kwa masikitiko makubwa, natangaza kifo cha Mbunge wa Viti Mheshimiwa Halima Idd Nassoro kilichotokea leo 18 Januari, 2026 Jijini Dar es Salaam.

Jamaa na marafiki, Mwenyezi Mungu awape katika kipindi hiki kigumu," "Ofisi ya Bunge kwa kushirikiana na familia ya Marehemu inaratibu mipango ya mazishi na taarifa zaidi zitaendelea kutolewa. "Inna lillahi wa inna ilayhi rajl'un"
Amina."

Imeeleza taarifa rasmi kutoka Ofisi ya Bunge.

01/17/2026

Mdada alieng'ang'ania mume wa mtu huyu hapa anafunguka anadai hawezi kumuacha maana mume wa mtu mtamu sana Bora atumie uchawi kuliko kuachana nae!!๐Ÿค”๐Ÿค”๐Ÿค”

Pichani ni Bibi harusi aliyetrend kwenye mitandao ya kijamii mara baada ya kumfukuza dada yake kwakumwambia aondoke asim...
01/17/2026

Pichani ni Bibi harusi aliyetrend kwenye mitandao ya kijamii mara baada ya kumfukuza dada yake kwakumwambia aondoke asimuharibie shughuli๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜

Gumzo limekuwa kubwa kwenye mitandao ya kijamii baada ya kuonekana Dvoice amevaa nguo ambayo aliwahi kuivaa Diamond Plat...
01/17/2026

Gumzo limekuwa kubwa kwenye mitandao ya kijamii baada ya kuonekana Dvoice amevaa nguo ambayo aliwahi kuivaa Diamond Platnumz akiwa kwenye moja ya show zake.
Unamaoni gani kwenye hili?

Tume ya Uchaguzi nchini Uganda (EC) imemtangaza rasmi Yoweri Kaguta Museveni kuwa Rais mteule wa Jamhuri ya Uganda kufua...
01/17/2026

Tume ya Uchaguzi nchini Uganda (EC) imemtangaza rasmi Yoweri Kaguta Museveni kuwa Rais mteule wa Jamhuri ya Uganda kufuatia uchaguzi mkuu uliofanyika Alhamisi iliyopita.

Tangazo hilo la kihistoria limetolewa leo na Mwenyekiti wa Tume hiyo, likihitimisha mchakato wa kuhesabu kura uliokuwa ukisubiriwa kwa shauku kubwa ndani na nje ya mipaka ya nchi hiyo.

Kwa ushindi huu, Museveni, ambaye amekuwa madarakani tangu mwaka 1986, anajiandaa kuiongoza Uganda kwa muhula mwingine, jambo linalomfanya kuwa mmoja wa viongozi waliokaa madarakani kwa muda mrefu zaidi barani Afrika.

Mtangazaji wa kipindi cha Dadaz Bhoke amechapisha  picha zake za mwaka 2016 kwenye mtandao wake wa instagram.Kipi kimeku...
01/17/2026

Mtangazaji wa kipindi cha Dadaz Bhoke amechapisha picha zake za mwaka 2016 kwenye mtandao wake wa instagram.

Kipi kimekuvutia katika picha hizi?

Huu ndiyo muonekano mpya wa mwanadada Pritty Vish kutokea Kenya ambaye anaombea Kajala na Harmonize waachane ili awe na ...
01/17/2026

Huu ndiyo muonekano mpya wa mwanadada Pritty Vish kutokea Kenya ambaye anaombea Kajala na Harmonize waachane ili awe na Harmonize .

01/17/2026

Napenda sana kuvaa Boxer sipendi chup kwasababu nguo za kiume ni Imara, Sikumbuki hata Idadi za ma Ex wangu kwakweli nisiwe Muongo๐Ÿ˜๐Ÿ—ฃ๏ธ

Mchekeshaji Juma Jicho ameshindwa jiuzia baada ya kauli ya Head Master kusema kuwa Juma Jicho afanyi comedy anafanya vit...
01/17/2026

Mchekeshaji Juma Jicho ameshindwa jiuzia baada ya kauli ya Head Master kusema kuwa Juma Jicho afanyi comedy anafanya vituko.

Kwenye mahojiano aliyofanya Head Master na Ney Pova ,Headmaster alisema kuwa hawezi kujilinganisha na Juma Jicho na Kingpuss kwani hao wanafanya vituko na siyo Comedy.

Baaada ya kauli hiyo Juma Jicho ameibuka na kujibu hoja hiyo''Headmaster_tz wewe sio comedian bro hakuna mtu anakujua bro me sio comedian tu wa clip twende stegin nipewe maik mm na ww ukitoboa nakupa lak mbill''Ameandika-Juma Jicho

Huyu hapa mkali wa mziki wa bongo flea Harmonize  akiwa kwenye muonekano mpya.Wimbo gani wa Harmonize unaukubali zaidi?
01/17/2026

Huyu hapa mkali wa mziki wa bongo flea Harmonize akiwa kwenye muonekano mpya.

Wimbo gani wa Harmonize unaukubali zaidi?

Pichani ni mtoto wa msanii wa mziki wa bongo fleva Rayvanny,Jaydanvanny akiwa kwenye muonekano mpya.Mashallah Fahima na ...
01/17/2026

Pichani ni mtoto wa msanii wa mziki wa bongo fleva Rayvanny,Jaydanvanny akiwa kwenye muonekano mpya.
Mashallah Fahima na Rayvanny wamekuza .

Mke wa Mkubwa Fella ambaye ni Sweet Fella amechapisha picha mjongeo ikimuonesha yeye na mume wake wakipata chakula kwa p...
01/17/2026

Mke wa Mkubwa Fella ambaye ni Sweet Fella amechapisha picha mjongeo ikimuonesha yeye na mume wake wakipata chakula kwa pamoja.

Address

Kawe Street
Louisville, KY
72063

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when East Africa News posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category