Channel Africa Swahili

Channel Africa Swahili Idhaa ya Kiswahili ya Channel Afrika ni kituo cha Redio ya kimataifa ya Shirika la utangazaji la

10/10/2025

Hujambo, Ungana na Abedi Jean Dela Croix ndani ya Makala ya Zilipendwa kesho Jumamosi na Jumapili.

 :Hujambo na karibu katika matangazo yetu ya jioni kutoka idhaa ya Kiswahili ya Channel Africa, kutoka Auckalnd Park mji...
10/10/2025

:

Hujambo na karibu katika matangazo yetu ya jioni kutoka idhaa ya Kiswahili ya Channel Africa, kutoka Auckalnd Park mjini Johannesburg nchini Afrika Kusini.

πŸ‘‰πŸ½ Umoja wa Ulaya umeahidi kuwekeza euro bilioni 11.5 chini Afrika Kusini katika nishati safi, miundombinu na miradi ya dawa.

πŸ‘‰πŸ½ Rais FΓ©lix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, amemtaka Rais wa Rwanda Paul Kagame kuondoa wanajeshi wake nchini mwake na kuacha kuwaunga mkono waasi wa M23.

πŸ‘‰πŸ½ Leo ni Ijumaa tutakuwa na swali letu la leo, Je unadhani Rwanda itaondoa askari wake nchini Drc baada ya Rais wa Drc kutoa wito kwa Rwanda kuondoa askari wake Drc?

Pia unaweza kutusikiliza kupitia www.channelafrica.co.za na kwenye mitambo ya open view 628, tutakuwa pia mubashara kupitia facebook πŸ‘‰ Channel Africa.

Unaweza pia kupakua App ya Shirika la Utangazaji la Afrika Kusini (SABC) utatupata bila wasiwasi πŸ‘‰
https://play.google.com/store/apps/details...

Tuachie ujumbe wako mfupi wa maandishi, ao ujumbe wako wa sauti kwenye namba yetu ya simu simu ya Whatsapp ambayo ni +27605525924 nasi tutaucheza baadaye.

Karibu

Channel Africa is an International Radio station whose mandate is to support South Africa's Foreign Policy enshrined in the Department of International Relations and Cooperation's - Vision and Mission and contribute to the development of Africa, support peace, democracy and good Governance through t...

08/10/2025

Darubini Ya Afrika 08/10/2025

 :Hujambo na karibu katika matangazo yetu ya jioni kutoka idhaa ya Kiswahili ya Channel Africa, kutoka Auckalnd Park mji...
07/10/2025

:

Hujambo na karibu katika matangazo yetu ya jioni kutoka idhaa ya Kiswahili ya Channel Africa, kutoka Auckalnd Park mjini Johannesburg nchini Afrika Kusini.

πŸ‘‰πŸ½ Takriban wafuasi 20 wa Jukwaa la Umoja wa Kitaifa nchini Uganda, walikamatwa jana Jumatatu wakati kiongozi wa chama hicho akifanya mkutano wa kampeni katika Wilaya ya Mityana.

πŸ‘‰πŸ½ Baadhi ya wabunge wa Drc waiomba serikali ya Kinshasa kufanya jitihada zote kumfikisha mahakamni nchini Drc "Jamili Mukulu", Kamanda wa ADF aliyekamatwa nchini Tanzania.

πŸ‘‰πŸ½ Leo ni Jumanne tutakuwa na swali letu la leo, Kukamatwa kwa kamanda wa ADF "Jamili Mukulu", Ndio mwisho wa mauaji ya raia wasio na hatia Drc?

Pia unaweza kutusikiliza kupitia www.channelafrica.co.za na kwenye mitambo ya open view 628, tutakuwa pia mubashara kupitia facebook πŸ‘‰ Channel Africa.

Unaweza pia kupakua App ya Shirika la Utangazaji la Afrika Kusini (SABC) utatupata bila wasiwasi πŸ‘‰
https://play.google.com/store/apps/details...

Tuachie ujumbe wako mfupi wa maandishi, ao ujumbe wako wa sauti kwenye namba yetu ya simu simu ya Whatsapp ambayo ni +27605525924 nasi tutaucheza baadaye.

Karibu

Channel Africa is an International Radio station whose mandate is to support South Africa's Foreign Policy enshrined in the Department of International Relations and Cooperation's - Vision and Mission and contribute to the development of Africa, support peace, democracy and good Governance through t...

06/10/2025

Darubini Ya Afrika 06/10/2025

01/10/2025

Darubini Ya Afrika 01/10/2025

26/09/2025
25/09/2025

Darubini Ya Afrika 25/09/2025

23/09/2025

Darubini Ya Afrika 23/09/2025

 :Hujambo na karibu katika matangazo yetu ya jioni kutoka idhaa ya Kiswahili ya Channel Africa, kutoka Auckalnd Park mji...
18/09/2025

:

Hujambo na karibu katika matangazo yetu ya jioni kutoka idhaa ya Kiswahili ya Channel Africa, kutoka Auckalnd Park mjini Johannesburg nchini Afrika Kusini.

πŸ‘‰πŸ½ Bunge la Drc limetuma ujumbe wa bunge huko Lubero na Beni kufuatia mauaji ya raia ya hivi majuzi yaliyofanywa na ADF.

πŸ‘‰πŸ½ Zaidi ya watu 100 wamekufa au kupotea baada ya boti mbili kuzama Jumamosi na Jumapili walipojaribu kuvuka bahari kuelekea ulaya.

πŸ‘‰πŸ½ Leo ni Alkhamisi tutakuwa na swali letu la leo, Je maisha mazuri yapo ughaibuni tu?

Pia unaweza kutusikiliza kupitia www.channelafrica.co.za na kwenye mitambo ya open view 628, tutakuwa pia mubashara kupitia facebook πŸ‘‰ Channel Africa.

Unaweza pia kupakua App ya Shirika la Utangazaji la Afrika Kusini (SABC) utatupata bila wasiwasi πŸ‘‰
https://play.google.com/store/apps/details...

Tuachie ujumbe wako mfupi wa maandishi, ao ujumbe wako wa sauti kwenye namba yetu ya simu simu ya Whatsapp ambayo ni +27605525924 nasi tutaucheza baadaye.

Karibu

Channel Africa is an International Radio station whose mandate is to support South Africa's Foreign Policy enshrined in the Department of International Relations and Cooperation's - Vision and Mission and contribute to the development of Africa, support peace, democracy and good Governance through t...

Address

1 Henley Road, Auckland Park
Johannesburg
2006

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Channel Africa Swahili posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Channel Africa Swahili:

Share