18/04/2025
Barcelona wanakabiliwa na kipindi kigumu cha siku 15 ambapo watacheza mechi nne muhimu dhidi ya wapinzani wao wakuu: Real Madrid na Inter Milan.
🏆 Fainali ya Copa del Rey:
Barcelona vs Real Madrid
⌛️Jumamosi, 26 Aprili 2025
🏟 Estadio de La Cartuja, Sevilla
🏆Ligi ya Mabingwa Ulaya:
Barcelona vs Inter Milan
⌛️Jumatano, 30 Aprili 2025
🏟 San Siro, Milan
Mechi ya Marudiano:
⏰️Jumanne, 6 Mei 2025
🏟Estadi Olímpic Lluís Companys
🏆La Liga – El Clásico:
Barcelona vs Real Madrid
⌛️Jumapili, 11 Mei 2025
🏟Estadi Olímpic Lluís Companys
Vipi unaiona wapi FC Barcelona kwenye mechi hizi?