IK MZIKI

IK MZIKI IK MZIKI KISIMA CHA BURUDANI
(1)

NEW MUSIC Artist : Meddy VoiceSong : SIKU MBAYA 2DOWNLOAD πŸ‘‡
12/01/2026

NEW MUSIC
Artist : Meddy Voice
Song : SIKU MBAYA 2

DOWNLOAD πŸ‘‡

NEW MUSIC Artist : Msaga sumuSong : Mziki DOWNLOAD πŸ‘‡
12/01/2026

NEW MUSIC
Artist : Msaga sumu
Song : Mziki

DOWNLOAD πŸ‘‡

NEW MUSIC Artist : RapchaSong : Hivi TulivyoDOWNLOAD πŸ‘‡
12/01/2026

NEW MUSIC
Artist : Rapcha
Song : Hivi Tulivyo

DOWNLOAD πŸ‘‡

NEW MUSIC Artist : Nickson Kanyelele Ft. Zoravo x Henrick Mruma Song : EbenezerDOWNLOAD πŸ‘‡
12/01/2026

NEW MUSIC
Artist : Nickson Kanyelele Ft. Zoravo x Henrick Mruma
Song : Ebenezer

DOWNLOAD πŸ‘‡

NEW MUSIC Artist : Mazegele BoySong : Roho NyeusiDOWNLOAD πŸ‘‡
12/01/2026

NEW MUSIC
Artist : Mazegele Boy
Song : Roho Nyeusi

DOWNLOAD πŸ‘‡

Msanii wa Singeli anayefanya vizuri na maarufu kwa jina la Mbiwdo MC ameandika ukurasa mpya katika safari yake ya muziki...
12/01/2026

Msanii wa Singeli anayefanya vizuri na maarufu kwa jina la Mbiwdo MC ameandika ukurasa mpya katika safari yake ya muziki baada ya kuachana rasmi na lebo ya Wabongo na kujiunga na lebo ya Watoto wa Uswahili.

Kwa kipindi kirefu, Mbiwdo MC alifahamika akiwa chini ya lebo ya Wabongo, inayomilikiwa na wakali wawili Chief Killer na Babilon Samas, ambapo alijijengea jina na mashabiki wengi kupitia kazi zake za Singeli.

Hatua hii ya Mbiwdo MC kuondoka Wabongo inakuja muda mfupi baada ya mmoja wa wamiliki wa lebo hiyo, Chief Killer, kutangaza wazi kwa umma kuwa kwa sasa lebo ya Wabongo imebaki na wasanii wawili tu, yaani Chief Killer mwenyewe na Babilon Samas.
Chief Killer alithibitisha taarifa hiyo moja kwa moja kwa IK MZIKI kupitia mawasiliano ya chat, jambo linaloonyesha mabadiliko makubwa ndani ya lebo hiyo.

Kwa kujiunga na Watoto wa Uswahili, Mbiwdo MC anatarajiwa kufanya kazi kwa karibu na Msaka Daily, mwanzilishi wa lebo hiyo, ambaye amekuwa mstari wa mbele kukuza na kusukuma muziki wa Singeli unaotoka moja kwa moja mitaani.

Mashabiki wengi sasa wanatazamia kuona mwelekeo mpya wa muziki wa Mbiwdo MC, ubunifu zaidi na kazi kali zitakazotoka chini ya lebo yake mpya.

Endelea kufuatilia IK MZIKI kwa taarifa zaidi, nyimbo mpya na habari zote moto kutoka kwenye tasnia ya Singeli Tanzania.

11/01/2026

Lipe Sikio Lako Vitu Vitamu k**a Ivi kutoka kwa Mkali Badizo Mc

DJ mkali wa Singeli nchini Tanzania, anayejulikana k**a DJ One Tz – Mkali wa Dimbe, anatarajiwa kushusha EP mpya ya beat...
08/01/2026

DJ mkali wa Singeli nchini Tanzania, anayejulikana k**a DJ One Tz – Mkali wa Dimbe, anatarajiwa kushusha EP mpya ya beat za Singeli itakayojulikana k**a β€œMR KIMBIZA.”

EP hii inatajwa kubeba beat nne kali sana, zenye kasi, nguvu na ladha ya kipekee ambayo ni saini halisi ya DJ One Tz. Kwa wale wanaofuatilia Singeli kwa karibu, jina lake halihitaji utambulisho mkubwa β€” huyu ni DJ anayejua kuitengeneza mtaa ucheze bila kupumua.

β€œMR KIMBIZA” inatarajiwa kuwa EP ya aina yake, yenye beat zitakazowapa nafasi wasanii wengi kupiga freestyle, kufanya collabo na kuachia vibao vizito. Huu ni ujio unaoonesha ubunifu mkubwa na kiwango cha juu cha production kutoka kwa DJ One Tz, mmoja wa maproduza na DJs wanaoheshimika sana kwenye game la Singeli.

EP ya MR KIMBIZA itapatikana rasmi kupitia IK MZIKI, tovuti yako namba moja kwa Singeli, burudani na habari moto.
Usiache kutufuatilia kwa taarifa zaidi kuhusu tarehe rasmi ya kutoka kwa EP hii kali sana!

Address

Dar Es Salaam
0001

Telephone

+255654141965

Website

https://whatsapp.com/channel/0029Vb5gcK5LtOj3iuG3gb3F

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when IK MZIKI posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to IK MZIKI:

Share